Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


APPT Maendeleo: Tutamsimamisha mgombea mwanamke urais 2015

>Mwenyekiti wa Chama cha APPT Maendeleo, Peter Kuga Mziray amesema chama chake kitamsimamisha mwanamke kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu ujao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo

Historia yake Peter Mziray ni Rais Mtendaji wa Chama cha APPT Maendeleo, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa na kitaaluma ni mtaalamu wa mifugo na uchumi wa kilimo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Anna Mghirwa mgombea urais mwanamke TZ

Anna Mghirwa ambaye mgombea urais pekee mwanamke katika uchaguzi wa mwaka huu nchini Tanzania.

 

9 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Vijimambo

Utabiri: Mgombea Urais kufa akitafuta urais 2015



Mrithi wa Mnajimu na Mtabiri wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini, Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Maalim Hassan Yahya Hussein, ametabiri kwamba kiongozi mmoja mzee aliye kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais, atadondoka ghafla kwenye jukwaa na kufa mwakani.Amesema kiongozi huyo, ambaye hakumtaja jina, atafariki dunia baada ya tukio hilo wakati akikimbizwa hospitali.Alitangaza utabiri huo, alipozungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kutumia kwa utabiri...

 

10 years ago

Dewji Blog

APPT Maendeleo yapongeza Katiba inayopendekezwa

RASIMU COVER - DESEMBA 2013 001

Na Mwandishi wetu

CHAMA cha APPT Maendeleo kimepongeza kupitishwa kwa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa katika hatua ya Bunge Maalum la Katiba na kuahidi kupigania suala la mbunge kuwajibishwa na wananchi liingizwe katika katiba anaposhindwa kutekeleza majukumu yake badala ya kusubiri miaka mitano.

Katibu Mwenezi wa Taifa wa chama hicho, Godfrey Davis,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, alisema APPT Maendeleo kimechukua hatua ya kupongeza Rasimu hiyo kwasababu mambo...

 

9 years ago

Michuzi

Mgombea Urais Mwanamke pekee kupitia tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Anna MGhwira apiga kura Singida

 Mgombea Urais Mwanamke pekee kupitia tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Anna MGhwira akiangalia jina lake wakati alipokwenda kupiga kura katika kituo cha Kibaoni mjini SingidaMgombea Urais Mwanamke pekee kupitia tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Anna MGhwira akiangalia jina lake wakati alipokwenda kupiga kura katika kituo cha Kibaoni mjini Singida

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani