APPT Maendeleo: Tutamsimamisha mgombea mwanamke urais 2015
>Mwenyekiti wa Chama cha APPT Maendeleo, Peter Kuga Mziray amesema chama chake kitamsimamisha mwanamke kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 May
NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo
9 years ago
Michuzi15 Oct
RATIBA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS/MGOMBEA MWENZA KWA VYAMA VYA SIASA (KAMA ILIVYOREKEBISHWA TAREHE 15/10/2015) UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI, 2015
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Anna Mghirwa mgombea urais mwanamke TZ
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Ratiba ya kampeni za mgombea Urais/Mgombea Mwenza kwa Vyama vya Siasa iliyorekebishwa tarehe 20/10/2015
RATIBA REVIEWED ON 20 10 2015.pdf
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Ratiba ya kampeni za mgombea Urais/Mgombea mwenza kwa vyama vya siasa — kama ilivyorekebishwa tarehe 22/10/2015
RATIBA REVIEWED ON 22 10 2015.pdf
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6mLiDf2x4Cg/VidsLtiSnyI/AAAAAAAIBd4/Qhn2X_3-Rwg/s72-c/1.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s72-c/Sheik-29Dec2014.jpg)
Utabiri: Mgombea Urais kufa akitafuta urais 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s640/Sheik-29Dec2014.jpg)
Mrithi wa Mnajimu na Mtabiri wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini, Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Maalim Hassan Yahya Hussein, ametabiri kwamba kiongozi mmoja mzee aliye kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais, atadondoka ghafla kwenye jukwaa na kufa mwakani.Amesema kiongozi huyo, ambaye hakumtaja jina, atafariki dunia baada ya tukio hilo wakati akikimbizwa hospitali.Alitangaza utabiri huo, alipozungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kutumia kwa utabiri...
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
APPT Maendeleo yapongeza Katiba inayopendekezwa
Na Mwandishi wetu
CHAMA cha APPT Maendeleo kimepongeza kupitishwa kwa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa katika hatua ya Bunge Maalum la Katiba na kuahidi kupigania suala la mbunge kuwajibishwa na wananchi liingizwe katika katiba anaposhindwa kutekeleza majukumu yake badala ya kusubiri miaka mitano.
Katibu Mwenezi wa Taifa wa chama hicho, Godfrey Davis,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, alisema APPT Maendeleo kimechukua hatua ya kupongeza Rasimu hiyo kwasababu mambo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MTsNnmnVYps/Vi0x9c5zeqI/AAAAAAAICyY/wPku1XSy2Pk/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Mgombea Urais Mwanamke pekee kupitia tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Anna MGhwira apiga kura Singida
![](http://4.bp.blogspot.com/-MTsNnmnVYps/Vi0x9c5zeqI/AAAAAAAICyY/wPku1XSy2Pk/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ANrd8nMjfwA/Vi0x9oCluMI/AAAAAAAICyc/tqlnuLhnAQo/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)