Arsenal yasaka sahihi ya Benzema
Arsenal wameripotiwa kujiandaa 'kuvunja benki' kwa lengo la kumsajili mshambuliaji wa Real Madrid Karim Benzema.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Ribbery na Benzema mahakamani Paris
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
El Classico:Je, Messi na Benzema watacheza?
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Benzema aondolewa timu ya taifa Ufaransa
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Zidane amkingia kifua Benzema Ufaransa
MADRID, HISPANIA
NYOTA wa zamani wa timu ya Taifa ya Ufaransa na Klabu ya Real Madrid, Zinedine Zidane, amekitaka Chama cha soka nchini humo (FFF), kulitupilia mbali suala la Karim Benzema la kashfa ya kumiliki mkanda wa ngono.
Chama hicho kwa kushirikiana na waziri wa michezo nchini humo, walisema wanaendelea na uchunguzi ili kuhakikisha kama kweli mchezaji huyo anahusika katika vitendo hivyo na kama anahusika anatakiwa kufungiwa maisha kuitumikia timu hiyo ya taifa.
Ufaransa watakuwa...
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Benzema mashakani kuhusiana na ukanda wa ngono
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-Yi-f6tszqPk/VcIzyS_dv_I/AAAAAAAADKI/h5LKy9fzBFM/s72-c/rihanna.jpg)
IS RIHANNA DATING KARIM BENZEMA OR LEWIS HAMILTON !?
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yi-f6tszqPk/VcIzyS_dv_I/AAAAAAAADKI/h5LKy9fzBFM/s1600/rihanna.jpg)
There's been a lot of speculation surrounding the sexy singer's love life as of late, because RiRi has been spotted out and about with multiple men. Most recently, the Barbados beauty was rumored to be sparking a romance with Formula One race car driver Lewis Hamilton (yes, Nicole Scherzinger's ex).But an insider had previously told us that "Rihanna is still hanging out with Karim[Benzema] at the...
11 years ago
TheCitizen10 Jun
BRAZIL 2014: Benzema, Matuidi shine in warm-up
9 years ago
StarTV05 Jan
Mchezaji Karim Benzema abainika na kesi ya kujibu. Â
Jaji anayesikiliza kesi inayomuhusu mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa Karim Benzema anayekabiliwa na tuhuma za kuingilia mawasiliano binafsi ya kimapezi ya mchezaji mwenzake Mathieu Valbuena amesema mchezaji huyo ana kesi ya kujibu kulingana na ushahidi uliyotolewa.
Jaji Nathalie Boutard amebainisha baada ya uchunguzi kufanyika na ushahidi wa vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani Benzema ana kesi ya kujibu.
Amesema Benzema hana sababu ya kukutana na Valbuena kwa lengo la kulimzaliza suala...