El Classico:Je, Messi na Benzema watacheza?
Mkufunzi wa kilabu ya Barcelona Louis Enrique ataamua saa moja kabla ya mchuano wa El Classico iwapo nyota wa timu hiyo Lionel Messi atacheza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Mar
L Enrique:El Classico haitaamua mshindi
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-3zu93FoMF14/VlF_qQcsU8I/AAAAAAAAEAA/UOI6MtvV02A/s72-c/Real%2BMadrid%2B0-2%2BBarcelona%2BHighlights.jpg)
VIDEO: REAL MADRID 0 - 4 BARCELONA "El Classico" (All Goals and Highlights 21.11.2015)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3zu93FoMF14/VlF_qQcsU8I/AAAAAAAAEAA/UOI6MtvV02A/s1600/Real%2BMadrid%2B0-2%2BBarcelona%2BHighlights.jpg)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Suala la hofu ya kiusalama kuelekea mchezo wa El Classico jumamosi hii, Serikali yatoa tamko!
Uwanja unaotarajiwa kuchezwa mchezo huo Jumamosi hii!
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Baada ya hofu kuwapata mashabiki wa soka nchini Hispania kuelekea kwa mchezo wa mahasimu wa jadi Real Madrid na Barcelona, El Classico kuwa wanaweza kushambuliwa na magaidi baada ya wiki iliyopita watu wanaodhaniwa kuwa magaidi kuvamia jiji la Paris wakati wa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani serikali ya Hispania imezungumza juu ya hali hiyo.
Kupitia kwa Katibu Wizara ya Nchi na Usalama,...
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Ribbery na Benzema mahakamani Paris
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Arsenal yasaka sahihi ya Benzema
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Benzema aondolewa timu ya taifa Ufaransa
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Benzema mashakani kuhusiana na ukanda wa ngono
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Zidane amkingia kifua Benzema Ufaransa
MADRID, HISPANIA
NYOTA wa zamani wa timu ya Taifa ya Ufaransa na Klabu ya Real Madrid, Zinedine Zidane, amekitaka Chama cha soka nchini humo (FFF), kulitupilia mbali suala la Karim Benzema la kashfa ya kumiliki mkanda wa ngono.
Chama hicho kwa kushirikiana na waziri wa michezo nchini humo, walisema wanaendelea na uchunguzi ili kuhakikisha kama kweli mchezaji huyo anahusika katika vitendo hivyo na kama anahusika anatakiwa kufungiwa maisha kuitumikia timu hiyo ya taifa.
Ufaransa watakuwa...