Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


El Classico:Je, Messi na Benzema watacheza?

Mkufunzi wa kilabu ya Barcelona Louis Enrique ataamua saa moja kabla ya mchuano wa El Classico iwapo nyota wa timu hiyo Lionel Messi atacheza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

L Enrique:El Classico haitaamua mshindi

Mkufunzi wa kilabu ya Barcelona Luis Enrique amesema kuwa mchuano wa Real Madrid na Barcelona hautaamua mshindi wa ligi.

 

9 years ago

Africanjam.Com

VIDEO: REAL MADRID 0 - 4 BARCELONA "El Classico" (All Goals and Highlights 21.11.2015)



Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

9 years ago

Dewji Blog

Suala la hofu ya kiusalama kuelekea mchezo wa El Classico jumamosi hii, Serikali yatoa tamko!

santiaogo

Uwanja unaotarajiwa kuchezwa mchezo huo Jumamosi hii!

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Baada ya hofu kuwapata mashabiki wa soka nchini Hispania kuelekea kwa mchezo wa mahasimu wa jadi Real Madrid na Barcelona, El Classico kuwa wanaweza kushambuliwa na magaidi baada ya wiki iliyopita watu wanaodhaniwa kuwa magaidi kuvamia jiji la Paris wakati wa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani serikali ya Hispania imezungumza juu ya hali hiyo.

Kupitia kwa Katibu Wizara ya Nchi na Usalama,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ribbery na Benzema mahakamani Paris

Wawili hao wamefikishwa mahakamani mjini Paris Ufaransa kwa kosa la kufanya ngono na kahaba aliyekuwa na umri mdogo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yasaka sahihi ya Benzema

Arsenal wameripotiwa kujiandaa 'kuvunja benki' kwa lengo la kumsajili mshambuliaji wa Real Madrid Karim Benzema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Benzema aondolewa timu ya taifa Ufaransa

Karim Benzema amesimamishwa kutoka timu ya taifa ya Ufaransa hadi uchunguzi wa madai yanayohusiana na kanda chafu ya ngono ukamilishwe.

 

9 years ago

BBCSwahili

Benzema mashakani kuhusiana na ukanda wa ngono

Mshambulizi wa Ufaransa Karim Benzema anachunguzwa kufuatia madai kuwa alijaribu kumshurutisha mchezaji mwenza kulipa pesa kwa watu fulani ilikuzuia ukanda wake wa ngono usichapishwe.

 

9 years ago

Mtanzania

Zidane amkingia kifua Benzema Ufaransa

000_119461254-1MADRID, HISPANIA

NYOTA wa zamani wa timu ya Taifa ya Ufaransa na Klabu ya Real Madrid, Zinedine Zidane, amekitaka Chama cha soka nchini humo (FFF), kulitupilia mbali suala la Karim Benzema la kashfa ya kumiliki mkanda wa ngono.

Chama hicho kwa kushirikiana na waziri wa michezo nchini humo, walisema wanaendelea na uchunguzi ili kuhakikisha kama kweli mchezaji huyo anahusika katika vitendo hivyo na kama anahusika anatakiwa kufungiwa maisha kuitumikia timu hiyo ya taifa.

Ufaransa watakuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani