Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


L Enrique:El Classico haitaamua mshindi

Mkufunzi wa kilabu ya Barcelona Luis Enrique amesema kuwa mchuano wa Real Madrid na Barcelona hautaamua mshindi wa ligi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

El Classico:Je, Messi na Benzema watacheza?

Mkufunzi wa kilabu ya Barcelona Louis Enrique ataamua saa moja kabla ya mchuano wa El Classico iwapo nyota wa timu hiyo Lionel Messi atacheza.

 

9 years ago

Africanjam.Com

VIDEO: REAL MADRID 0 - 4 BARCELONA "El Classico" (All Goals and Highlights 21.11.2015)



Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

9 years ago

Dewji Blog

Suala la hofu ya kiusalama kuelekea mchezo wa El Classico jumamosi hii, Serikali yatoa tamko!

santiaogo

Uwanja unaotarajiwa kuchezwa mchezo huo Jumamosi hii!

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Baada ya hofu kuwapata mashabiki wa soka nchini Hispania kuelekea kwa mchezo wa mahasimu wa jadi Real Madrid na Barcelona, El Classico kuwa wanaweza kushambuliwa na magaidi baada ya wiki iliyopita watu wanaodhaniwa kuwa magaidi kuvamia jiji la Paris wakati wa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani serikali ya Hispania imezungumza juu ya hali hiyo.

Kupitia kwa Katibu Wizara ya Nchi na Usalama,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Luis Enrique aongeza mkataba Barca

Mkufunzi wa timu ya soka ya Barcelona Luis Enrique ameongeza mkataba mpaka mwaka 2017

 

11 years ago

Dewji Blog

Barcelona appoint Luis Enrique as new coach

Par6504918

Barcelona on Monday appointed their former captain and outgoing Celta Vigo manager Luis Enrique as their new coach to replace Gerardo Martino after a disappointing trophyless season, the club said.

Enrique, 44, scored 109 goals in 300 appearances for the Catalan team in eight years after joining from eternal rivals Real Madrid in 1996, and also had great success in three seasons as Barca B coach.

Now Barca board is betting on him bringing the 2012-2013 title holders back to glory after...

 

11 years ago

GPL

LUIS ENRIQUE ASAINI MIAKA 2 KUIFUNDISHA BARCELONA

Kocha mpya wa Barcelona, Luis Enrique Martínez García. BODI ya wakurugenzi wa timu ya FC Barcelona imethibitisha kuwa Mhispania Luis Enrique Martínez García ndiye kocha mpya wa timu hiyo. Enrique mwenye umri wa miaka 44 aliyewahi kuichezea klabu hiyo akitokea kwa mahasimu wao Real Madrid mwaka 1996, atasaini mkataba wa miaka miwili kuifundisha timu hiyo yenye maskani yake jijini Barcelona. ...

 

10 years ago

TheCitizen

Success brings doubts as Enrique shadows Guardiola

Madrid. When Luis Enrique was hired as Barcelona boss just over a year ago his challenge was a daunting one; to bring back the glory years of Pep Guardiola.

 

5 years ago

Bleacher Report

Liga MX President Enrique Bonilla Says He Tested Positive for Coronavirus

Liga MX President Enrique Bonilla Says He Tested Positive for Coronavirus  Bleacher ReportView Full coverage on Google News

 

9 years ago

StarTV

Kocha Luis Enrique Asema  ataongeza nguvu ya usajili Barcelona.

 

 Kocha Luis Enrique Martinez wa FC Barcelona amesema kuwa hana shaka na kiwango bora cha timu yake msimu huu  na kubainisha kuwa ana mpango wa kukiongezea nguvu zaidi katika dirisha dogo la usajili la janauri mwakani.

Kocha huyo ameweka wazi wakati akizungumza na waandishi wa habari katika maandalizi ya mechi ya ligi kuu ya La liga dhidi Real Sociedad kwenye uwanja wa Nou Camp.

Amesema hana hofu  kwa kuwa  siku zote anataka wachezaji wake kuwa fiti licha  ya kukumbwa na majeruhi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani