Mchezaji Karim Benzema abainika na kesi ya kujibu. Â
Jaji anayesikiliza kesi inayomuhusu mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa Karim Benzema anayekabiliwa na tuhuma za kuingilia mawasiliano binafsi ya kimapezi ya mchezaji mwenzake Mathieu Valbuena amesema mchezaji huyo ana kesi ya kujibu kulingana na ushahidi uliyotolewa.
Jaji Nathalie Boutard amebainisha baada ya uchunguzi kufanyika na ushahidi wa vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani Benzema ana kesi ya kujibu.
Amesema Benzema hana sababu ya kukutana na Valbuena kwa lengo la kulimzaliza suala...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-Yi-f6tszqPk/VcIzyS_dv_I/AAAAAAAADKI/h5LKy9fzBFM/s72-c/rihanna.jpg)
IS RIHANNA DATING KARIM BENZEMA OR LEWIS HAMILTON !?
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yi-f6tszqPk/VcIzyS_dv_I/AAAAAAAADKI/h5LKy9fzBFM/s1600/rihanna.jpg)
There's been a lot of speculation surrounding the sexy singer's love life as of late, because RiRi has been spotted out and about with multiple men. Most recently, the Barbados beauty was rumored to be sparking a romance with Formula One race car driver Lewis Hamilton (yes, Nicole Scherzinger's ex).But an insider had previously told us that "Rihanna is still hanging out with Karim[Benzema] at the...
5 years ago
Mirror Online30 Mar
Karim Benzema repeats ridicule of Chelsea striker Olivier Giroud with fresh declaration
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Liyumba ana kesi ya kujibu mahakamani
11 years ago
Habarileo12 Dec
Liyumba ana kesi ya kujibu- Mahakama
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imemuona aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba ana kesi ya kujibu.
9 years ago
Mwananchi18 Dec
DC , wenzake watatu wakutwa na kesi ya kujibu
11 years ago
Mwananchi25 Mar
‘Washtakiwa EPA wana kesi ya kujibu’
11 years ago
Habarileo26 Jun
Aliyekuwa Mkurugenzi TBS ana kesi ya kujibu
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege anayekabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya madaraka na kulisababishia shirika hilo hasara ya Sh milioni 68, amepatikana na kesi ya kujibu.
11 years ago
Mwananchi06 Feb
‘Vigogo wa Suma-JKT wana kesi ya kujibu’
10 years ago
Mwananchi19 May
Watoto wa vigogo BoT wana kesi ya kujibu