Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyekuwa Mkurugenzi TBS ana kesi ya kujibu

 Charles EkelegeALIYEKUWA Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege anayekabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya madaraka na kulisababishia shirika hilo hasara ya Sh milioni 68, amepatikana na kesi ya kujibu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Liyumba ana kesi ya kujibu- Mahakama

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imemuona aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba ana kesi ya kujibu.

 

11 years ago

Mwananchi

Liyumba ana kesi ya kujibu mahakamani

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi (DPA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba anayekabiliwa na kesi ya kukutwa na simu ndani ya Gereza la Ukonga ana kesi ya kujibu.

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama ya Kisutu yasema Hans Macha ana kesi ya kujibu

Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imetoa uamuzi katika kesi inayomkabili mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Hans Aingaya Macha (pichani) kuwa ana kesi ya kujibu.
Uamuzi huo, umetolewa na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Devotha Kisoka katika kesi inayomkabili mfanyabiashara huyo ya kugushi hati ya kiwanja cha Ramadhan Balenga chenye namba 183 kilichopo Kigogo, mkataba wa mauziano na hati ya uhamishaji miliki.
Akitoa uamuzi huo jana, Hakimu Devotha alisema baada...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZZ: Aliyekuwa Mkurugenzi wa TBS, Charles Ekelege ahukumiwa kwenda jela miaka mitatu

Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii 

 Aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Nchini (TBS), Charles Ekelege amehukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwenda jela miaka mitatu na kuilipa serikali Dola 42,543 za Kimarekani, baada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka kwa kutoa asilimia 50.

Kadhalika, Ekelege anadaiwa kutoa asilimi hiyo ya  punguzo la tozo ya utawala kwa Kampuni mbili  Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors na...

 

10 years ago

Michuzi

MKURUGENZI WA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WA MAMBO YA NJE AAGANA NA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA UNDP NCHINI

Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akimkabidhi Kitabu kinachoelezea Vivutio mbalimbali vya Utalii vilivyopo nchini Mkurugenzi wa UNDP nchini, Bw. Philippe Poinsot, alipokuja kuaga mara baada ya kupata uhamisho wa kwenda kuwa Mratibu Mkazi wa UNDP nchini Moroco.Balozi Mushy akiwa katika mazungumzo na Bw. Philippe Poinsot mara baada ya kumkabidhi kitabu.Balozi Mushy (wa nne kulia)  akiwa katika picha ya pamoja na Bw. Poinsot (wa nne kushoto) pamoja na Maafisa...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Washtakiwa EPA wana kesi ya kujibu’

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaona wakurugenzi wa kampuni ya Njake Hotel &Tours, Jonathan Munisi na Japhet Lema wanaokabiliwa na kesi ya wizi kwenye akaunti ya EPA, kuwa wana kesi ya kujibu katika mashtaka yote yanayowakabili.

 

9 years ago

Mwananchi

DC , wenzake watatu wakutwa na kesi ya kujibu

Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Chato mkoani Geita, Yona Wilson amesema Mkuu wa Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Hadija Nyembo na wenzake watatu wana kesi ya kujibu ya ubadhirifu wa pembejeo za kilimo na matumizi mabaya ya madaraka.

 

9 years ago

StarTV

Mchezaji Karim Benzema abainika na kesi ya kujibu.  

 

Jaji anayesikiliza kesi inayomuhusu mchezaji wa kimataifa wa Ufaransa Karim Benzema anayekabiliwa na tuhuma za kuingilia mawasiliano binafsi ya kimapezi ya mchezaji mwenzake Mathieu Valbuena amesema mchezaji huyo ana kesi ya kujibu kulingana na ushahidi uliyotolewa.

Jaji Nathalie Boutard amebainisha baada ya uchunguzi kufanyika na ushahidi wa vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani Benzema ana kesi ya kujibu.

Amesema Benzema hana sababu ya kukutana na Valbuena kwa lengo la kulimzaliza suala...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Vigogo wa Suma-JKT wana kesi ya kujibu’

Vigogo saba wa Suma-JKT wanaokabiliwa na mashtaka ya matumizi mabaya ya madaraka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wamepatikana kuwa na kesi ya kujibu na kutakiwa kuanza kutoa ushahidi wao wa utetea Machi 11 na 14 mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani