Arsenali yamsajili Paulista
Kilabu ya Arsenal nchini Uingereza imemsajili beki Gabriel Paulista kwa kitita cha Yuro millioni 15
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZnGD8m-jGZk/U3fBI0W6DqI/AAAAAAAFigc/Z12azSAUrbk/s72-c/article-2631275-1DF2EE1E00000578-111_634x515.jpg)
ARSENALI MABINGWA WA FA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZnGD8m-jGZk/U3fBI0W6DqI/AAAAAAAFigc/Z12azSAUrbk/s1600/article-2631275-1DF2EE1E00000578-111_634x515.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b2qrLDBjSdI/U3fBI2JMBDI/AAAAAAAFigg/dqMi9JRaBxA/s1600/article-2631275-1DF2FF1600000578-522_634x445.jpg)
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Arsenal kumsajili Paulista
Kilabu ya Uhispania Villareal imethibtisha makubaliano na Arsenal kuhusu uhamisho wa beki Gabriel Paulista huko Emirates.
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Arsenal yafanya mazungumzo na Paulista
Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amesema kuwa kilabu yake imeanza mazungumzo na mlinzi wa wa Villareal Gabriel Paulista.
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Wenger:Paulista hajui kizungu
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amekiri kwamba kutojua kizungu kwa Gabriel Paulista kutaathiri timu hiyo katika safu ya nyuma
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Real Madrid yamsajili Silva
Kilabu ya Real Madrid imemsajili kiungo wa kati Lucas Silva kutoka kilabu ya Cruizero ya Brazil kwa pauni millioni 9.7.
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Swansea yamsajili Andre Ayew
Mshambuliaji wa Ghana Andre Ayew amejiunga na kilabu ya Swansea kwa uhamisho wa bure na kuandikisha mkataba wa miaka minne na kilabu hiyo.
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Liverpool yamsajili Firmino wa Brazil
Liverpool imemsajili mshambuliaji Roberto Firmino wa klabu ya Hoffenheim kwa kanadarasi ya miaka 5 kwa pauni millioni 29.
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Chelsea yamsajili Radamel Falcao
Chelsea imemsajili mshambuliaji wa klabu ya Monaco Radamel Falcao kwa makubaliano ya mkopo lakini kuna uwezekano wa kuongeza kandarasi hiyo na kuwa ya kudumu.
9 years ago
BBCSwahili15 Aug
Tottenham yamsajili N'jie wa Cameroon
Klabu ya Tottenham imemsajili mshambuliaji wa Cameroon Clinton N'jie kutoka kilabu ya Ufaransa ya Lyon.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania