Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askari polisi Kawe lawamani

BAADHI ya askari polisi wa Kituo cha Kawe, Kinondo, Dar es Salaam wameingia kwenye kashfa ya kumbambikia kesi ya jinai Mkurugenzi Mtendaji wa Kahangala Youth Foundation, Pascal Kahangala. Jeshi hilo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KIINGLISHI KILIVYOWAGOMBANISHA ASKARI POLISI NA ASKARI WA MANISPAA YA MOSHI


Kisha safari ya kwenda Kituoni ikaanza. Ghafla Mkude baada ya kuona kamera ya globu ya jamii inammulika alimuamuru askari mwenzake kuikamata ,alakini hata hivyo askari yule alifahamu kuwa Globu ya jamii pia iko kazini kama walivyo wao. Mzobe mzobe ukaendelea kupita katikati ya kituo kikuu cha mabasi huku mbinje za kutosha toka kwa wakatisha tiketi na wapiga debe zikirindima. Askari Polisi.Mkude akafanikiwa kuwatia mikononi askari wa manispaa ya Moshi wanaoshughulika na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wa Kenya lawamani baada ya shambulizi la Westgate

Siku yenyewe ya shambulio la Westgate ilikua vurugu tupu vikosi vya usalama vilichukua dakika 90 kuwasili katika eneo hilo

 

10 years ago

Michuzi

Jeshi la polisi nchini lathibitisha kuwa mlipuko uliowajeruhi askari polisi Songea ni bomu la kienyeji

Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai kamishina wa polisi Isaya Mngulu akizungumza na waandishi wa habari leo mjini mjini Songea mkoani Ruvuma---------------------Na Nathan Mtega wa demasho.com,Songea
JESHI la polisi chini limethibitisha kuwa kitu kilichokuwa kinadaiwa kuwa nio bomu lililorushwa mjini Songea mkoani Ruvum Septemba 16 mwaka huu majira ya saa 1.25 usiku katika eneo la Misufini na kuwajeruhi askari polisi watatu kati ya wanne waliokuwa doria kuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono...

 

10 years ago

Vijimambo

Polisi Dar lawamani kuachia mtuhumiwa wa kubaka mlemavu

Mratibu wa Kituo cha Usuluhishi cha Chama Cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa), Gladness MunuoJeshi la Polisi Mkoa wa Ilala limelalamikiwa kwa madai ya kumkingia kifua mtuhumiwa wa ubakaji wa mtoto wenye ulemavu wa kusikia (15), lakini katika hali ya kushangaza, mtuhumiwa huyo mkazi wa Dar es Salaam (jina tunalihifadhi) ameachiwa huru kwa madai kuwa mtoto huyo ni mzoefu wa kufanyiwa vitendo hivyo.

Mtuhumiwa huyo ambaye anadaiwa kufanya kitendo hicho mwishoni mwa mwezi uliopita katika...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata silaha moja aina ya SMG yenye namba BA172288  na risasi kumi na tatu wakati wa  mapambano makali ya ana kwa ana kati ya majambazi na Jeshi la Polisi.  Aidha katika tukio hilo majambazi wawili waliuawa  kwa risasi wak ati wakijaribu kuwadhuru askari.  
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...

 

5 years ago

CCM Blog

ASKARI POLISI APATA AJALI

 Askati wa Usalama barabarani (wa tatu kushoto) akizungumza na kupata maelezo kutoka kwa madereva wenye nyombo vya moto baada ya kugongana eneo la Kisutu katika makutano ya kituo cha Mabasi ya mwendokasi kilichopo eneo hilo Jijini Dar er Salaam leo Mei 11, 2020. (wa katikati) ni Dereva wa Pikipiki yenye namba za usajili MC 919 BJC, Ambaye ni Askari Polisi na wa kwanza kuli ni Dereva mwenye Gari lenye namba za Usajili T 810 DMK. japo hakuna aliyeumia  (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Askari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani