Askofu Mhogolo afariki dunia
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dayosisi ya Kati, Godfrey Mhogolo, amefariki dunia Afrika Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Katibu Mkuu wa kanisa hilo, Dayosisi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Apr
Pinda kuongoza maziko ya Askofu Mhogolo
WACHUNGAJI wapatao 300 waliokuwa wakifanya kazi chini ya aliyekuwa Askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dayosisi ya Dodoma, Marehemu Godfrey Mdimi Mhogolo wametakiwa kujipa moyo wakati wa kipindi hiki kigumu cha kumpoteza kiongozi wao.
11 years ago
GPLWAZIRI MKUU PINDA ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU MHOGOLO MJINI DODOMA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KkXG-8E8s4Y/Uz7AJcfLneI/AAAAAAAAoWE/rd6HXpwrdd8/s72-c/1.jpg)
IBADA YA KUUOMBEA MWILI WA ASKOFU WA KANISA LA ANGLICAN DAYOYSISI YA KATI GODFREY MHOGOLO
![](http://3.bp.blogspot.com/-KkXG-8E8s4Y/Uz7AJcfLneI/AAAAAAAAoWE/rd6HXpwrdd8/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gGFI7xjea_4/Uz7AOhpqpkI/AAAAAAAAoWo/Khye_bBIadM/s1600/6.jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU MHOGOLO WA ANGLIKANI MJINI DODOMA
11 years ago
Dewji Blog06 Apr
Ibada ya kuuombea mwili wa aliyekuwa Askofu wa Kanisa la Anglican Dayoysisi ya kati Godfrey Mhogolo yafanyika leo
Jeneza likiwa na mwili wa aliyekuwa Askofu wa kanisa la Anglican Dayosisi ya Dodoma Godfrey Mdimi Mhogolo aliyefariki wiki iliyopita nchini Afrika ya Kusini alikopelekwa kwa matibabu likiwa ndani ya kanisa kuu la Roho Mtakatifu wakati wa ibada maarumu.
![](http://1.bp.blogspot.com/-gGFI7xjea_4/Uz7AOhpqpkI/AAAAAAAAoWo/Khye_bBIadM/s1600/6.jpg)
Waumini na viongozi wa kanisa la Anglican Dayosisi ya kati wakilishusha Jeneza lilibeba mwili wa aliyekuwa askofu wa kanisa hilo Godfrey Mhogolo ulipofikishwa kwa mara ya kwanza tokea alipofariki nchini Afrika ya Kusini kanisani hapo...
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-KkXG-8E8s4Y/Uz7AJcfLneI/AAAAAAAAoWE/rd6HXpwrdd8/s1600/1.jpg)
IBADA YA KUUOMBEA MWILI WA ALIYEKUWA ASKOFU WA KANISA LA ANGLICAN DAYOYSISI YA KATI GODFREY MHOGOLO YAFANYIKA LEO
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Askofu aliyekabiliwa na kesi aaga dunia
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Askofu Tutu: Viongozi wa dunia hatuna budi kumuenzi Mandela