Aspirini Tumaini jipya kwa wagonjwa wa saratani
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza, wengi tumekuwa tukiichukulia dawa ya aspirini kama dawa ya hadhi ya chini, hatufahamu kuwa ina uwezo mkubwa wa kitiba mwilini ikiwamo kuzuia magonjwa ya moyo na kiharusi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo19 Oct
10 years ago
MichuziKitabu cha Dira na Tumaini Jipya Handeni
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamMWANDISHI wa Habari za Michezo ambaye pia ni Mratibu Mkuu wa Tamasha la Utamaduni...
10 years ago
MichuziKITABU CHA DIRA NA TUMAINI JIPYA HANDENI CHATINGA MTAANI
Kitabu hicho kinapatikana kwa Sh 3500 tu. Maeneo yanapopatikana kitabu hicho...
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
TAG yatembelea wagonjwa wa saratani
WAUMINI wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) jana waliwatembelea wagonjwa wa saratani waliopo kwenye Taasisi ya Saratani Ocean Road jijini Dar es Salaam na kugawa vitu mbalimbali vyenye...
10 years ago
Habarileo23 Feb
Wagonjwa wa saratani waongezeka Bugando
IDADI ya wagonjwa wa saratani katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini, Mwanza imeongezeka kutoka 3,400 mwaka 2009 hadi kufikia wagonjwa 10,200 mwaka jana.
10 years ago
Vijimambo22 Jul
Asilimia 70 ya wagonjwa wa saratani hupoteza maisha katika nchi zinazoendelea
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/12_7.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/CKV9RFDWoAA1kFz.jpg)
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Berzosertib: Dawa mpya ya saratani inayozuia uvimbe yawapatia matumaini wagonjwa
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Ushirikiano wa pamoja unatakiwa ili kuhakikisha wagonjwa wanaougua saratani wanapata matibabu
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo, New York
Ushirikiano wa pamoja unatakiwa ili kuhakikisha wagonjwa wanaougua saratani za mlango wa kizazi, matiti na tezi dume wanapata matibabu kwa wakati na hivyo kupunguza idadi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo.
Rai hiyo imetolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwenye mjadala wa wake wa marais wa Afrika wa kupambana na saratani za mlango wa kizazi, matiti na tezi dume uliofanyika katika kituo cha Ubunifu...
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Asilimia 70 ya wagonjwa wa saratani hupoteza maisha katika nchi zinazoendelea — Mhe. Uhuru Kenyatta
Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta akitambulishwa wake wa marais kutoka nchi mbalimbali za Afrika na Mkewe mama Margaret Kenyatta kabla ya kufungua mkutano wa tisa wa Jukwaa la wake wa marais wa Afrika la kutokomeza magonjwa ya saratani za mfumo wa uzazi ambazo ni mlango wa kizazi, matiti na tezi dume unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Kenyatta (KICC) uliopo mjini Nairobi. Kushoto ni Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda –...