AT na Kiguu na Njia
NA SHARIFA MMASI
MKALI wa wimbo wa ‘Sijazoea’, Aly Ramadhani (AT) yupo mbioni kukamilisha wimbo wake mpya alioupachika jina la ‘Kiguu na Njia’.
Wimbo huo unafanyiwa marekebisho madogo madogo katika studio ya Uprize Music iliyopo chini ya prodyuza Fraga, ili isambazwe kwenye vituo vya redio kwa ajili ya kuchezwa rasmi.
AT alisema baada ya wimbo huo kuanza kusikika redioni atajipanga kufanya video nzuri itakayomhusisha mmoja wa waigizaji wakongwe katika uigizaji nchini ili kunogesha video...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
SHOGA; KIGUU NA NJIA CHAKO KITAMKIMBIZA MUMEO NYUMBANI!
5 years ago
Michuzi
Usomaji kwa njia ya kidijitali : Vodacom Instant Schools njia sahihi ya elimu kwa vitendo

Wazo la usomaji kwa njia ya kidijitali linalenga kuongeza ufanisi na kuboresha mazingira ya usomaji kwa wahusika kutumia nyenzo za kisasa. Lengo siyo kuachana na mfumo wa mafunzo ya darasani bali kuuboresha kwa kuzingatia matumizi ya teknolojia.
Kwa...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Wasiopenda kujifunza kwa njia rahisi, watajifunza kwa njia ngumu
NIMEMSIKIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akisema kuwa katiba mpya haileti maendeleo hata ikija. Msingi wa hoja yake ni kuwa katiba mpya siyo mtatuzi wa matatizo...