ATC yalipisha kwa dola
KINYUME na agizo la Serikali la kutaka taasisi zake zisitoze malipo kwa dola ila kulinda thamani ya shilingi yake, Shirika la Ndege Tanzania (ATC), limekiuka kwa kuwalipisha kwa dola wapangaji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J4Q91QIejus/Xmd_f1Z48FI/AAAAAAAAIZg/r3hbZfRDPUw9DGYGG6R1B6If3QC1hKF4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200310_123009_204.jpg)
KALIST ASEMA CCM HAITATUMIA DOLA KUTAKA MADARAKA BALI DOLA KWA NI KUTUMIA KWA KUTUMIKIA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-J4Q91QIejus/Xmd_f1Z48FI/AAAAAAAAIZg/r3hbZfRDPUw9DGYGG6R1B6If3QC1hKF4ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200310_123009_204.jpg)
Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro akiongea na vyombo vya habari leo leo jijini Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha
CHAMAcha Mapinduzi,CCM, hakitatumia dola kubakia madarakani bali kitaitumia dola katika kuwatumikia na kuwahudumia wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kuboresha huduma za jamii.
Hayo yameelezwa leo jijini Arusha kwenye ukumbi wa Hotel ya Arusha Palace, na aliyekuwa Meya wa Jijiji la Arusha,Kalisti Lazaro,alipokuwa akitolea ufafanuzi kauli ya...
9 years ago
Bongo501 Dec
Chris Brown kuchangia dola 1 kwa kila nakala ya album yake ‘royalty’ kwa watoto
![breezy-smile](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/breezy-smile-300x194.jpg)
Ikiwa zimebaki wiki mbili kuachia album yake mpya, Chris Brown amesema kuwa atachangia kwenye mfuko wa watoto kiasi cha dola moja kutoka kwenye mauzo ya kila nakala ya album yake, ikiwa ni sehemu ya kurudisha kwa jamii mwisho huu wa mwaka.
Kupitia mitandao ya kijamii Breezy aliandika,
“The holidays are all about giving back, so this Christmas, from now until Christmas, if you order the album, pre-order the album, one dollar of every album sold will go to Childrens Miracle Network...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oVpT0qdI8-k/VMkSI3g9_RI/AAAAAAAG_-Q/CBQLc9Mx8IQ/s72-c/b3.jpg)
RAIS KIKWETE AHAMASISHA MCHANGO WA DOLA BILIONI 7.5 KWA AJILI YA CHANJO YA WATOTO KWA NCHI MASIKINI DUNIANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-oVpT0qdI8-k/VMkSI3g9_RI/AAAAAAAG_-Q/CBQLc9Mx8IQ/s1600/b3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4PcAAeYq6-M/VMkSLOKwPaI/AAAAAAAG_-s/NEQ7sCbeguA/s1600/b4.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Dec
ABIRIA MIAMOJA WAKWAMA ATC
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-7PkisCQyyIQ%2FVKHPWSFhQEI%2FAAAAAAADTGE%2F9mdgQcfJu30%2Fs1600%2Ff0b4Air-Tanzania.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Abiria hao imebidi wakodiwe hoteli ilivyo ada wakisubiri muafaka wa namna watakavyosafiri kuelekea Comoro. Sharifu Hashim, Balozi wa heshima wa Comoro huko Chicago nchini Marekani, anasema mambo yake mengi yamekwama kutokana na tukio hili na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jRpNDPXFsrY/U3zF-a_G0xI/AAAAAAAFkLg/QE3UpDLnPmw/s72-c/ATCL+7.jpg)
ATC kung’ara angani
![](http://4.bp.blogspot.com/-jRpNDPXFsrY/U3zF-a_G0xI/AAAAAAAFkLg/QE3UpDLnPmw/s1600/ATCL+7.jpg)
Mwenyekiti na Rais wa Kampuni za Al Hayat Development and Investment LLC ya Oman, Sheikh Salim Bin Abdullah Al Harthy, alisema...
10 years ago
Vijimambo13 Jul
LAST CALL FOR ATC BOARD MEMBERS
Application deadline is July 18,2015
Association of Tanzania Community ( ATC) is a non-political organization under the District of Columbia “Nonprofit Corporation ACT” (D.C Code, 1981 edition, Title 29,Chapter 5.) We are pleased to announce our members of the upcoming positions which need immediate filling.
Board of Directors; 5 Openings‘Board of Directors shall be charged with the management of the association affairs for a (3) years term’.Board of Directors shall make policy decisions and...
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Abiria miamoja wakwama:ATC
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yfrR6KD4V_I/VYhKKm7B1bI/AAAAAAAAVNk/o6xM1bVxPCI/s72-c/ACACIA_KILIMANJARO.jpg)
ACACIA KUKUSANYA DOLA 200,000 KWA AJILI YA UFADHILI WA ELIMU KWA WATOTO MASKINI, NI KUPITIA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-yfrR6KD4V_I/VYhKKm7B1bI/AAAAAAAAVNk/o6xM1bVxPCI/s640/ACACIA_KILIMANJARO.jpg)
Akizungumza muda mfupi kabla ya kuanza kwa safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kwenye lango la Machame,iliyo shirikisha watu 21, Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni...
10 years ago
Vijimambo13 Jul
UCHAGUZI MDOGO WA BODI ATC-Metro DC
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAPENDA KUWAJULISHA WANAJUMUIYA WAKE KUWA, UCHAGUZI WA WAJUMBE WA BODI UTAFANYIKA RASMI TAREHE 01/08/2015.TAFADHALI TUMA MAOMBI KABLA YA TAREHE 18/7/2015
Kwa Maelezo zaidi Wasiliana na Vice PresidentHarriet Shangarai-Tel #240 672 1788Executive Secretary,Saidi Mwamende Tel. # 301-996-4029Assistant TreasureGerald Mude- Tel # 202-644-1829Email - uongoziatc2015@gmail.com
TUNATANGULIZA SHUKRANIATC-Metro DC
UWEPO WAKO NI UWEPO WA FIKRA ZAKO !