Auawa na kutenganishwa kiwiliwili
MKAZI mmoja wa kijiji cha Shila, Machibya Modest ameuawa kwa kuchinjwa kisha kiwiliwili chake kutenganishwa na kichwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Dec
Auawa kinyama na kutenganishwa shingo
MKAZI wa kijiji cha Ilalangulu, kata ya Kibaoni wilayani Mlele, Elizabeth Richard (16) ameuawa kwa kuchinjwa shingo, kichwa kikitenganishwa na kiwiliwili chake na watu wasiofahamika kisha wakanyofoa sehemu zake za siri na kuondoka nazo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o8QCeM-M8Eg/UwXUijy93AI/AAAAAAAFOSQ/3lvYVdtcmkk/s72-c/unnamed+(57).jpg)
WATOTO MAPACHA WALIOPELEKWA KUTENGANISHWA NCHINI INDIA WAREJEA JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-o8QCeM-M8Eg/UwXUijy93AI/AAAAAAAFOSQ/3lvYVdtcmkk/s1600/unnamed+(57).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4T5o7Peb5aE/UwXUi2M92cI/AAAAAAAFOSc/EzKP8vA87ro/s1600/unnamed+(58).jpg)
10 years ago
Vijimambo19 Feb
Mtoto albino aliyenyang'anywa mikononi mwa mamaye akutwa amekatwa miguu, mikono yote. Kiwiliwili chake chatelekezwa msituni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Joseph-konyo-19Feb2015.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.
Siku tatu baada ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Yohana Bahati (1), kutekwa na watu wasiofahamika, hatimaye mwili wake umepatikana ukiwa umekatwa miguu, mikono yote na kiwiliwili chake kufukiwa shambani katika Kitongoji cha Mapinduzi, Kijiji cha Rumasa ndani ya hifadhi ya msitu wa Biharamulo Wilaya ya Chato, mkoani Geita.
Mtoto huyo alinyakuliwa Jumapili iliyopita nyumbani kwao saa 2:15 usiku akiwa amebebwa na mama yake mzazi, Esther...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10