Audio: Ben Pol aurudia wimbo wa Sam Smith ‘Stay With Me’, Ni Shida!
Ben Pol amefanya kava ya wimbo wa msanii wa Uingereza, Sam Smith ‘Stay With Me’. Kwa uwezo wa sauti yake kwenye wimbo huu ni wazi kuwa Ben ni msanii bora wa rnb kuwahi kutokea Tanzania. Production imefanywa na Mswaki. Noma sana. Chini ni wimbo wa Sam Smith.
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Nov
Video: Sam Misago Ft. Ben Pol — Nimepania
![11875589_1003539399703044_1024575082_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11875589_1003539399703044_1024575082_n-300x194.jpg)
Video mpya ya Sam Misago wimbo unaitwa “Nimepania” amemshirikisha Ben Pol, Video imeongozwa na Tonee Blaze
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
GPL10 Nov
11 years ago
GPL27 Jun
10 years ago
Dewji Blog16 Jan
9 years ago
Bongo509 Nov
Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…
![Ben SA-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-SA-1-300x194.jpg)
Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.
Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.
Ben Pol na Patoranking
Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/xTp4eu-PWGY/default.jpg)
9 years ago
Bongo530 Sep
Video: Ben Pol, Avril na Rossie M wakiongelea wimbo wao ‘Ningefanyaje’
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-udEzi3eAXYM/VLlakm5DfcI/AAAAAAADVnY/6zwlPDbdqFk/s72-c/48JwVIyK.jpeg)
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Ben Pol kamwomba radhi Alikiba ??!! ishu yao imeisha hivi live #OnIAR.. (+Audio)
Jana December 23 2015 gossic cop wa show ya XXL #CloudsFM, Soudy Brown alifanikiwa kumpata Alikiba… maswali ya Soudy kwa Alikiba ilikuwa jinsi alivyopokea maneno ya Ben Pol kwenye post ya Twitter ambayo alimtaja !! Alikiba alisema hana neno na wala hana tatizo na Ben Pol, kwa hiyo hata kilichoandikwa na Ben Pol alikichukulia poa […]
The post Ben Pol kamwomba radhi Alikiba ??!! ishu yao imeisha hivi live #OnIAR.. (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.