Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEW AUDIO: BEN POL - UPENDO

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Upendo by Ben Pol (Spanking Brand New Song)

Ben Pol Upendo Cover

I switched my style to AFRO POBOLINGO for a while, this is new music like never before. I hope my fans will enjoy this record. I have done this to conquer a larger fan base. I will really appreciate to see this sky rocket.

Song Details:
Singer: Ben Pol
Song Title: Upendo
Producer: Man Water
Songwriter: Kinye Wynjones
Release Date: 27.06.2014

 

10 years ago

Dewji Blog

9 years ago

Bongo5

Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…

Ben SA-1

Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.

Ben SA-1

Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.

Ben pol na Patoranking2
Ben Pol na Patoranking

Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...

 

10 years ago

Bongo5

Audio: Ben Pol aurudia wimbo wa Sam Smith ‘Stay With Me’, Ni Shida!

Ben Pol amefanya kava ya wimbo wa msanii wa Uingereza, Sam Smith ‘Stay With Me’. Kwa uwezo wa sauti yake kwenye wimbo huu ni wazi kuwa Ben ni msanii bora wa rnb kuwahi kutokea Tanzania. Production imefanywa na Mswaki. Noma sana. Chini ni wimbo wa Sam Smith.

 

9 years ago

MillardAyo

Ben Pol kamwomba radhi Alikiba ??!! ishu yao imeisha hivi live #OnIAR.. (+Audio)

Jana December 23 2015 gossic cop wa show ya XXL #CloudsFM, Soudy Brown alifanikiwa kumpata Alikiba… maswali ya Soudy kwa Alikiba ilikuwa jinsi alivyopokea maneno ya Ben Pol kwenye post ya Twitter ambayo alimtaja !! Alikiba alisema hana neno na wala hana tatizo na Ben Pol, kwa hiyo hata kilichoandikwa na Ben Pol alikichukulia poa […]

The post Ben Pol kamwomba radhi Alikiba ??!! ishu yao imeisha hivi live #OnIAR.. (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Umeiskia ‘Am Happy’ ya Bob Manecky f/ Quick Rocka, G-Nako, Jux, Ben Pol, Young D na Gelly wa Rhymes?

Producer wa AM Records, Bob Manecky ameachia wimbo uitwao ‘Am Happy’ aliowashirikisha Quick Rocka, G-Nako, Jux, Ben Pol, Young D na Gelly wa Rhymes. Usikilize hapo chini, utaupenda. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka […]

 

9 years ago

Global Publishers

Ben Pol aanza mwaka na Ben Pol

benpol2Ben Pol.

Khadija Mngwai, Dar es Salaam
MWANAMUZIKI wa muziki wa Kizazi kipya ‘Bongo Fleva, Benard Paul (Ben Pol) amefunguka kwa kusema kuwa anauanza mwaka wa 2016 kwa kutoa albamu yake iliyobeba nyimbo 13, mwanzoni mwa mwezi wa pili.

Akizungumza na Championi Jumatano, Pol amesema kuwa wasanii wengi wamekuwa wakiuchukulia muziki huo ni wa kawaida tu kwa kuhitaji kujiingizia kipato na siyo kuwa ‘serious’ na matokeo yake wanaishia kutoa nyimbo moja au mbili ili kupata shoo.

BEN-POL-1“Nimejipanga kuweka...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Vijimambo

NINGEFANYAJE-BEN POL FT AVRIL

The undisputed Tanzania's King of RnB is back with a Brand new RnB Ballad called Ningefanyaje to be release 24th September, 2015. This song features Kenya’s Sweetheart Avril and Tanzania’s upcoming songbird Rossie M. This project is produced by Mswaki.

Ben Pol has taken part in Coke Studio Season 3 which will be aired on 10th October, 2015 and Ningefanyaje is among the songs he performs with a live band of Coke Studio in Nairobi, Kenya. On Coke Studio Ben Pol is paired and collaborated with...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani