Audio: Listen to AKA diss Cassper in radio freestyle
South African rapper AKA performed a freestyle on Metro Fm’s Touch Down show hosted by DJ, T’bo Touch. After being prompted to rap freestyle on his hit diss track, ‘Composure’ AKA took a few shots at his rival Cassper who recently dropped a diss track titled ‘Dust to Dust.’ Video uploaded to Youtube by The […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo507 Oct
Cassper Nyovest akanusha kuwa alizomewa jukwaani kwa kuimba diss track ya AKA
9 years ago
Bongo510 Nov
AKA adai hajawahi kusikiliza diss track ya Cassper Nyovest ‘Dust 2 Dust’ iliyomlenga yeye

Wakati rapper Cassper Nyovest anakula bata Zanzibar na mpenzi wake , rapper AKA ameiamsha tena beef yao ambayo ilikuwa imemezwa na historia aliyoiweka Cassper ya kujaza ukumbi wa watu elfu 20 mwenyewe hadi kupongezwa na Rais Jacob Zuma siku chache zilizopita.
AKA ametweet na kusema kuwa hajawahi kusikiliza wimbo wa Cassper aliomdiss unaoitwa ‘Dust 2 Dust’.
Kwenye moja ya Tweet hizo AKA ameandika “kwanini nijidanganye kusikiliza wimbo uliojaa uongo kuhusu mimi?” (hapa sijui amejuaje umejaa...
10 years ago
Bongo503 Oct
Music: Cassper Nyovest aendeleza mashambulizi kwa AKA kwenye diss track mpya ‘Dust 2 Dust’
10 years ago
Africanjam.Com
LISTEN: WANNA KNOW .. MEEK MILL'S RESPONDS TO DRAKE WITH A DISS TRACK,

The track follows two records from Drake — "Charged Up" and "Back to Back Freestyle" — that put Meek's back against the wall. Everyone expected a response from Meek Mill earlier this week on Hot 97 DJ Funkmaster Flex's show that never transpired. Meek Mill and his team began dropping hints this afternoon that the track would finally be...
10 years ago
Bongo513 Oct
Cassper Nyovest adai ‘Composure’ ya AKA ilimchoma!
10 years ago
Bongo512 Oct
Publicity from AKA, Cassper Nyovest war worth millions
11 years ago
Bongo529 Sep
New Audio: KBC (Kwanza Unit) — RIP D.Rob Freestyle
10 years ago
Bongo518 Dec
SA Hip Hop Awards: AKA ampiku Cassper Nyovest kwa kuondoka na nyingi!
9 years ago
Bongo517 Nov
Cassper Nyovest aapa kutozungumzia tena beef yake na AKA, ‘It’s over for me’

Rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest ameapa kutozungumzia tena beef yake na rapper AKA kwasababu ameamua kuachana nayo moja kwa moja ili aendelee na mambo mengine.
Akihojiwa kwenye kipindi cha MTV Base ‘Behind The Story’, Cassper ambaye ameshinda tuzo mbili za AFRIMA weekend iliyopita Lagos, Nigeria, alipohojiwa kuhusu beef yake na AKA alisema hataki kuzungumzia tena swala hilo, ameamua kuendelea mbele.
“I don’t wanna talk about it anymore. It’s not gonna end, man. This is one of the...