Aunguzwa kwa kudokoa njegere
MWANAFUNZI wa darasa la kwanza Shule ya Msingi Jangwani, Manispaa ya Sumbawanga amechomwa moto mikono yake miwili, kutokana na tuhuma za kudokoa njegere zilizokuwa zikichemka jikoni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Mar
Mtoto aunguzwa kwa kudokoa njegere
MWANAFUNZI wa darasa la kwanza Shule ya Msingi Jangwani, Manispaa ya Sumbawanga amechomwa moto mikono yake miwili, kutokana na tuhuma za kudokoa njegere zilizokuwa zikichemka jikoni.
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Aunguzwa kifuani kwa maji ya maharage
Na Hillary Shoo, Singida
MSICHANA mmoja amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida, baada ya kumwagiwa maharage ya moto kifuani na dada yake, kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
Msichana huyo aliyelazwa wodi namba mbili katika hospitali hiyo, ametambulika kwa jina la Tabu Mohamed (25) ni mkazi wa eneo la Majengo Manispaa ya Singida.
Akizungumza na MTANZANIA huku akiugulia maumivu, Tabu alisema tukio hilo lilitokea juzi asubuhi, wakati alipokwenda kwa dada yake kwa lengo la...
10 years ago
Vijimambo02 Jan
Mtoto aunguzwa vibaya kwa kula nyama

Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Ungindoni kata ya Mji Mwema Kigamboni, jijini Dar es Salaam (jina tunalihifadhi), anadaiwa kuchomwa moto na mama yake mkubwa sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kutumia jalo.
Mtoto huyo alifanyiwa ukatili huo Desemba 25, mwaka jana akidaiwa kula vipande viwili vya nyama na hivyo kupewa adhabu na mama yake mkubwa, Rachel Bundala, kwa kuchomwa moto kwenye paja, goti na mikono yote miwili.
SHUHUDA...
11 years ago
Daily News04 Mar
Minor burnt for stealing 'njegere'
Daily News
POLICE in Rukwa Region have arrested 18-year old Anifa Lunyerere for allegedly burning the hands of a six-year old girl Theresia Makojo, and causing her grievous bodily harm. Reports from the scene of incident, which have been confirmed by police, ...
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
Aunguzwa na uji kisa wivu wa mapenzi
MSICHANA Jackline Lasway maarufu kwa jina la Pendo, mkazi wa eneo la Minga Manispaa ya Singida, amenusurika kifo baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa tajiri wake wa...