Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aunguzwa kifuani kwa maji ya maharage

Na Hillary Shoo, Singida

MSICHANA  mmoja amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida, baada ya kumwagiwa maharage ya moto kifuani na dada yake, kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.

Msichana huyo aliyelazwa wodi namba mbili katika hospitali hiyo, ametambulika kwa jina la Tabu Mohamed  (25) ni mkazi wa eneo la Majengo Manispaa ya Singida.

Akizungumza na MTANZANIA huku akiugulia maumivu, Tabu alisema tukio hilo  lilitokea juzi asubuhi, wakati alipokwenda kwa dada yake kwa lengo la...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Aunguzwa kwa kudokoa njegere

MWANAFUNZI wa darasa la kwanza Shule ya Msingi Jangwani, Manispaa ya Sumbawanga amechomwa moto mikono yake miwili, kutokana na tuhuma za kudokoa njegere zilizokuwa zikichemka jikoni.

 

11 years ago

Habarileo

Mtoto aunguzwa kwa kudokoa njegere

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Jacob MwaruandaMWANAFUNZI wa darasa la kwanza Shule ya Msingi Jangwani, Manispaa ya Sumbawanga amechomwa moto mikono yake miwili, kutokana na tuhuma za kudokoa njegere zilizokuwa zikichemka jikoni.

 

10 years ago

Vijimambo

Mtoto aunguzwa vibaya kwa kula nyama

  Aliyemuunguza ni mama mkubwa siku ya krismasi.
Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Ungindoni kata ya Mji Mwema Kigamboni, jijini Dar es Salaam (jina tunalihifadhi), anadaiwa kuchomwa moto na mama yake mkubwa sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kutumia jalo.

Mtoto huyo alifanyiwa ukatili huo Desemba 25, mwaka jana akidaiwa kula vipande viwili vya nyama na hivyo kupewa adhabu na mama yake mkubwa, Rachel Bundala, kwa kuchomwa moto kwenye paja, goti na mikono yote miwili.

SHUHUDA...

 

10 years ago

Habarileo

Dereva teksi afumaniwa, auawa kwa kuchomwa kisu kifuani

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Mary NzukiDEREVA teksi Hamis Seleman (18), mkazi wa Vingunguti jijini Dar es Salaam, amekufa baada ya kuchomwa kisu kifuani na Ali Kimodo, aliyemfumania akiwa na mpenzi wake.

 

5 years ago

Michuzi

Tanzania Kuuza Makontena 200 ya Maharage nchini Ubelgiji Inbox x

Ubalozi wa Tanzania nchini Ubelgiji umepata soko kubwa la maharage machanga ya kijani yanayojulikana kama haricots vertz(green thin beans) nchini Ubelgiji. Soko hilo limepatikana baada ya Balozi wa Tanzania nchini humo, Mhe. Jestas Abuok Nyamanga kufanya mazungumzo na uongozi wa juu wa kampuni ya CBG-Charlier-Brabo Group inayonunua maharage hayo kutoka sehemu mbalimbali duniani na kuyauza katika supermarkets kubwa za Carrefour, Delhaize na Aldi za nchini Ubelgiji, Luxembourg na nchi...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)

Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]

The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aunguzwa na uji kisa wivu wa mapenzi

MSICHANA Jackline Lasway maarufu kwa jina la Pendo, mkazi wa eneo la Minga Manispaa ya Singida, amenusurika kifo baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa tajiri wake wa...

 

10 years ago

GPL

OMBI LA KUPANDA KWA BEI ZA MAJI SAFI NA MAJI TAKA

Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ewura, Simon Sayore, Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Mhandisi, Mutaekulwa Mutegeki.
 Wadau mbalimbli wakiwa katika mkutano huo.
 Mkutano ukiendelea.…

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA MAJI KUPITIA BRN IMEFIKISHA MAJI KWA WANANCHI M.4.2

IMG-20150203-WA0039Waziri wa maji profesa jumanne maghembe akielezea utekelezaji wa mpango wa matokeo makubwa sasa BRN chini.....................................................
Waziri wa maji kupitia mpango wa BRN,kuanzia mwaka 2013 hadi sasa,imefanikiwa kuwafikishia maji wananchi milioni 4.3 wanaoishi maeneo ya mijini Aidha zaidi ya watu milioni 2 wanaoishi maeneo ya vijijini wamepatiwa huduma ya maji kupitia BRN.
Waziri wa maji profesa jumanne maghembe ameyasema hayo Februari 3, 2015 mjini Dodoma alipokuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani