Mtoto aunguzwa kwa kudokoa njegere
MWANAFUNZI wa darasa la kwanza Shule ya Msingi Jangwani, Manispaa ya Sumbawanga amechomwa moto mikono yake miwili, kutokana na tuhuma za kudokoa njegere zilizokuwa zikichemka jikoni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Mar
Aunguzwa kwa kudokoa njegere
MWANAFUNZI wa darasa la kwanza Shule ya Msingi Jangwani, Manispaa ya Sumbawanga amechomwa moto mikono yake miwili, kutokana na tuhuma za kudokoa njegere zilizokuwa zikichemka jikoni.
10 years ago
Vijimambo02 Jan
Mtoto aunguzwa vibaya kwa kula nyama
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Ungindoni kata ya Mji Mwema Kigamboni, jijini Dar es Salaam (jina tunalihifadhi), anadaiwa kuchomwa moto na mama yake mkubwa sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kutumia jalo.
Mtoto huyo alifanyiwa ukatili huo Desemba 25, mwaka jana akidaiwa kula vipande viwili vya nyama na hivyo kupewa adhabu na mama yake mkubwa, Rachel Bundala, kwa kuchomwa moto kwenye paja, goti na mikono yote miwili.
SHUHUDA...
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Aunguzwa kifuani kwa maji ya maharage
Na Hillary Shoo, Singida
MSICHANA mmoja amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida, baada ya kumwagiwa maharage ya moto kifuani na dada yake, kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
Msichana huyo aliyelazwa wodi namba mbili katika hospitali hiyo, ametambulika kwa jina la Tabu Mohamed (25) ni mkazi wa eneo la Majengo Manispaa ya Singida.
Akizungumza na MTANZANIA huku akiugulia maumivu, Tabu alisema tukio hilo lilitokea juzi asubuhi, wakati alipokwenda kwa dada yake kwa lengo la...
11 years ago
Daily News04 Mar
Minor burnt for stealing 'njegere'
Daily News
POLICE in Rukwa Region have arrested 18-year old Anifa Lunyerere for allegedly burning the hands of a six-year old girl Theresia Makojo, and causing her grievous bodily harm. Reports from the scene of incident, which have been confirmed by police, ...
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
Aunguzwa na uji kisa wivu wa mapenzi
MSICHANA Jackline Lasway maarufu kwa jina la Pendo, mkazi wa eneo la Minga Manispaa ya Singida, amenusurika kifo baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa tajiri wake wa...
11 years ago
Mwananchi25 Apr
VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto (PMTCT)
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mchungaji wa kanisa akamatwa kwa tuhuma ya kumficha ndani mtoto wake kwa miaka 12
Kijana mkazi wa kijiji cha Itaja tarafa ya Mgori wilayani Singida, Timotheo David (30), akiwa amelazwa wodi namba nne hospitali ya mkoa wa Singida baada ya kuletwa na jeshi la polisi siku mbili zilizopita. Inadaiwa kuwa Timotheo baada ya kuugua Malaria kali mwaka 2003 na kuchanganyikiwa akili, alifungiwa ndani chumbani toka wakati huo hadi juzi alipotolewa na polisi na kuletwa hospitalini. Kwa mujibu wa Kaimu Mganga mfawidhi hospitali ya mkoa, Dk.Napaiya Petro, Timotheo hana ugonjwa wo wote...
5 years ago
CCM BlogMTOTO WA MIAKA 17 MIKONONI MWA POLISI KWA KWA TUHUMA ZA KUMUUA BABA YAKE
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, alidai kuwa Mei 31, saa 12 alfajiri Kitongoji cha Manyani, Kata ya Mkalama wilayani Gairo, mtu aliyejulikana kwa jina la Issaya Lameck (41), maarufu kama Kusaganika, fundi Muwashi, aliuawa kwa kupigwa na mtoto wake mwenye miaka 17 (jina linahifadhiwa kwa sababu za kimaadili).
Kamanda Mutafungwa...