Aunt: mdogo wa cookie anakuja soon!!
Staa maarufu wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel na mwanaye, Cookie.
Stori: Imelda Mtema
Staa maarufu wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel amefungua kinywa chake na kusema kuwa kwa sasa yuko kwenye mchakato wa kumtafuta mdogo wake na Cookie kwa kuwa hataki kukaa muda mrefu ili kupata mtoto mwingine.
Aunty Ezekiel na mpenzi wake, Mose Iyobo.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni Aunty,alisema kuwa ameamua kufanya hivyo kwa kuwa anaona kuzaa mapema na kumaliza ndiyo poa ili aweze kuendelea...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies02 Nov
Aunt Ezekiel Awapa Makavu Wanaoponda Penzi Lake na Baba Cookie
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘mama Cookie’ ambaye amezaa na mcheza shoo wa msanii Diamond Platnumz, Moses Iyobo amewapa makavu wale wote wanaodani kuwa amepotea kwa kitendo chake cha kuzaa na mcheza shoo huyo.
Kupitia ukurasa wake mtandaon, Aunt aliweka picha hiyo hapo juu ya Iyobo na kuandika haya.
“Kazi ni kazi ilimradi mkono uende kinywani nyinyi na Maboss wenu mimi na Dancer wangu wote tunatembelea makalio pumbavuu kaza buti Dady Cookie wangu nakupenda hvyohvyo.....”
Ujumbe...
10 years ago
Dewji Blog22 May
Staa wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel sasa ni Mama COOKIE!! ajifungua mtoto wa kike
Aunt Ezekiel
Na Andrew Chale, Modewji blog
Ilikuwa si rahisi kama ilivyojulikana na wengi hasa kwa namna ya ‘fans’ wa staa wa filamu za Bongo maalufu Bongo Movie, kujua hatma ya ujauzito wake ambao ulikuwa ukifuatiliwa na wengi. staa huyo si mwingine ni Aunty Ezekiel (pichani), katika kipindii chote cha ujauzito wake. Lakini kwa neema za Mungu, Asubuhi ya Mei 21.2015, staa huyo aliweza kuifungulia dunia kwa kumleta mtoto wa kike.
Hata hivyo, Mtoto huyo tayari jina lake limeshajulikana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJBhAI51g-*Q*FCCg8GIRa4uoep6R-UZ7MN3qBJpBSr6ie4TOx1ecYccQQDyrbfhM4uvJOP65P1gYKxttOHHwH7F/aunt1.jpg?width=650)
SIMULIZI YA AUNT EZEKIEL: ILIKUWA AOLEWE AKIWA MDOGO, AKATOROKA NYUMBANI KWAO!
10 years ago
Bongo Movies31 Dec
Uwoya Anakuja na Filamu ya Funga Mwaka
Mwigizaji mwenye mvuto wa aina yake katika filamu za Kibongo, Irene Pancaras Uwoya amesema anafunga mwaka na filamu ya kihostoria.
Amini usiamini Uwoya anakuwa mtayarishaji mkubwa wa filamu aliyetengeneza filamu hiyo m kwa gharama kubwa na kuwashirikisha wasanii wakubwa kutoka Afrika Kusini na uturuki inayokwenda kwa jina la Kisoda.
“Najaribu kutoka kimataifa kwa kutengeneza bonge la filamu na yenye wasanii wa kimataifa, naamini itanitoa na kuitoa Tanzania kimasomaso, kwani sikuangalia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3pbaBKayUO9Xoc*PcZlJ7iY4gdlzNjmJTM*sdxW5suTdZVv25QojKq0pY0fLMFbyfyc2hgD59fr4oJ*86MBcOy1dlzJ6Gs8g/CUF.jpg?width=650)
Mfungaji bora Caf anakuja Yanga
9 years ago
Bongo531 Dec
Kayumba anakuja na mambo makubwa – Madam Rita
![Mshindi wa Bongo Star Search 2015, Kayumba akiomba dua baada ya kutangazwa mshindi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Mshindi-wa-Bongo-Star-Search-2015-Kayumba-akiomba-dua-baada-ya-kutangazwa-mshindi-300x194.jpg)
Madam Rita amedai kuwa mshindi wa BSS 2015, Kayumba Juma anakuja na mambo makubwa.
Rita ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa wapo kwenye maandalizi ya mwisho ya ujio wake.
“Kayumba anakuja na mambo makubwa,” amesema. “Watu wenyewe wataona na kuthibitisha hili ninalolisema. Nataka watu wawe na subira kila kitu kitakuwa wazi soon Mungu akipenda.”
Rita na Kayumba walisafiri kwenda nchini Afrika Kusini kwaajili ya kushoot video ya wimbo wa kwanza wa msanii huyo.
Jiunge na Bongo5.com...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/H0IIbQDP4Ic/default.jpg)