Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aunt: mdogo wa cookie anakuja soon!!


aunt, cookie na iyobo (1)Staa maarufu wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel na mwanaye, Cookie.

Stori: Imelda Mtema
Staa maarufu wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel amefungua kinywa chake na kusema kuwa kwa sasa yuko kwenye mchakato wa kumtafuta mdogo wake na Cookie kwa kuwa hataki kukaa muda mrefu ili kupata mtoto mwingine.

aunt, cookie na iyobo (2)Aunty Ezekiel na mpenzi wake, Mose Iyobo.

Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni Aunty,alisema kuwa ameamua kufanya hivyo kwa kuwa anaona kuzaa mapema na kumaliza ndiyo poa ili aweze kuendelea...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Awapa Makavu Wanaoponda Penzi Lake na Baba Cookie

Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘mama Cookie’ ambaye amezaa na mcheza shoo wa msanii Diamond Platnumz, Moses Iyobo amewapa makavu wale wote wanaodani kuwa amepotea kwa kitendo chake cha kuzaa na mcheza shoo huyo.

Kupitia ukurasa wake mtandaon, Aunt aliweka picha hiyo hapo juu ya Iyobo na kuandika haya.

“Kazi ni kazi ilimradi mkono uende kinywani nyinyi na Maboss wenu mimi na Dancer wangu wote tunatembelea makalio pumbavuu kaza buti Dady Cookie wangu nakupenda hvyohvyo.....”

Ujumbe...

 

10 years ago

Dewji Blog

Staa wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel sasa ni Mama COOKIE!! ajifungua mtoto wa kike

AUNTY35Aunt Ezekiel

Na Andrew Chale, Modewji blog

Ilikuwa si rahisi kama ilivyojulikana na wengi hasa kwa namna ya ‘fans’ wa staa wa filamu za Bongo maalufu  Bongo  Movie,  kujua  hatma ya ujauzito wake ambao ulikuwa ukifuatiliwa na wengi.  staa huyo si mwingine ni Aunty Ezekiel (pichani), katika kipindii chote cha ujauzito wake. Lakini kwa neema za Mungu, Asubuhi ya Mei 21.2015, staa huyo aliweza kuifungulia dunia kwa kumleta mtoto wa kike.

Hata hivyo, Mtoto huyo tayari jina lake limeshajulikana...

 

11 years ago

GPL

SIMULIZI YA AUNT EZEKIEL: ILIKUWA AOLEWE AKIWA MDOGO, AKATOROKA NYUMBANI KWAO!

Aunt Ezekiel. BAADA ya wiki iliyopita kumaliza mahojiano na Miss Tanzania 2006 aliye pia mwigizaji wa sinema za Bongo, Wema Isaac Sepetu, wiki hii tunaye supastaa mwingine. Anaitwa Aunt Ezekiel Grayson, si jina geni kwa wadau mbalimbali wa burudani nchini. Ni mrembo ambaye amepata jina kubwa kupitia sanaa yake ya uigizaji wa filamu aliyoianza miaka saba iliyopita.
Msanii huyo ambaye ni mtoto wa damu wa aliyekuwa mchezaji...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwoya Anakuja na Filamu ya Funga Mwaka

Mwigizaji mwenye mvuto wa aina yake katika filamu za Kibongo, Irene Pancaras Uwoya amesema anafunga mwaka na filamu ya kihostoria.

Amini usiamini Uwoya anakuwa mtayarishaji mkubwa wa filamu aliyetengeneza filamu hiyo m kwa gharama kubwa na kuwashirikisha wasanii wakubwa kutoka Afrika Kusini na uturuki inayokwenda kwa jina la Kisoda.

“Najaribu kutoka kimataifa kwa kutengeneza bonge la filamu na yenye wasanii wa kimataifa, naamini itanitoa na kuitoa Tanzania kimasomaso, kwani sikuangalia...

 

10 years ago

GPL

Mfungaji bora Caf anakuja Yanga

Mshambuliaji nyota wa AS Vita, Firmin Ndombe Mubele. Na Mwandishi Wetu
KLABU kongwe ya Yanga imesisitiza lazima ipate mshambuliaji wa kucheka na nyavu na zoezi hilo litakamilika kabla ya Desemba 15, siku ya mwisho ya dirisha dogo.Yanga imetega rada zake katika nchi zaidi ya nne, lakini inaonekana nguvu imeanza kwa mshambuliaji nyota wa AS Vita, Firmin Ndombe Mubele ambaye ni mfungaji bora wa Ligi ya Mabingwa Afrika, akifunga...

 

9 years ago

Bongo5

Kayumba anakuja na mambo makubwa – Madam Rita

Mshindi wa Bongo Star Search 2015, Kayumba akiomba dua baada ya kutangazwa mshindi

Madam Rita amedai kuwa mshindi wa BSS 2015, Kayumba Juma anakuja na mambo makubwa.

Madam Rita na Kayumba

Rita ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa wapo kwenye maandalizi ya mwisho ya ujio wake.

“Kayumba anakuja na mambo makubwa,” amesema. “Watu wenyewe wataona na kuthibitisha hili ninalolisema. Nataka watu wawe na subira kila kitu kitakuwa wazi soon Mungu akipenda.”

Rita na Kayumba walisafiri kwenda nchini Afrika Kusini kwaajili ya kushoot video ya wimbo wa kwanza wa msanii huyo.

Jiunge na Bongo5.com...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani