AY AANIKA SIRI IKULU YA OBAMA
![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsumEYYW30lTL-ziVwPi0XtpMytXPZjAUVKqX1P9dJcthGokv7*Xy6TWpWUuGaqTcPgxAHfH*yYQlMCVJbO-xTueC/AY.jpg)
Stori: Mwandishi Wetu MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya, Ambwene Yesaya ‘AY’ ameanika siri za Ikulu ya Rais Baraka Obama wa Marekani, baada ya kuitembelea wakati alipokwenda kwa ajili ya shoo akiwa na wenzake tisa kutoka Afrika. Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya, Ambwene Yesaya ‘AY’ akipozi. “Nilipokwenda sikumkuta Rais Obama, alikuwa Minnesota kwa mambo yake, lakini tulipokelewa na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Tambwe aanika siri ya mabao
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Vee Money aanika siri ya Hawajui
MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa Bongo, Vanessa Mdee ‘Vee Money’ amesema aliamua kusambaza ngoma yake mpya ya ‘Hawajui’ baada ya baadhi ya wadau wa muziki huo kusema hakustahili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi*wWF*kxdWGJuaImMuiSxlSPQvsFlXGAFN3Viy4tUWsDVu2l9g8fQEWFlTNIXNDQ99L-vs5R9FBTz8*0KmrYDhA/banza.jpg)
BANZA AANIKA SIRI YA SHAVU DODO LAKE
9 years ago
Bongo Movies17 Sep
Chuchu Hans Aanika Siri ya Kumkoleza Ray
NINA imani mu-wazima wa afya wasomaji wetu, kama kawa kwenye kolamu hii tumekuwa tukiwaleta mastaa tofautitofauti na kufunguka mambo mbalimbali yahusuyo maisha yao kwenye sanaa na nje ya fani.
Leo tunaye staa wa filamu Bongo, Chuchu Hans ambaye ni mwandani wa msanii mkongwe kwenye ulimwengu wa filamu Bongo, Vincent Kigosi `Ray’ aliyeweza kufunguka mambo mbalimbali kutokana na maswali aliyoulizwa na wasomaji wetu katika kolamu hii wiki iliyopita na kuyatolea ufafanuzi bila hiyana.
Msomaji:...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El89K8-DNKF79Ekucw5gIrZ4mnjQzzJyQa2sZCDaEeEsAGhxVfyYkr*h*sUXOhgj8AQM6CvACwYqsK8xbYOKot72/l.jpg?width=650)
AMANDA AANIKA SIRI NZITO YA KUTOWAPENDA WANAUME
10 years ago
GPLLADY NAA AANIKA SIRI YA KUMPENDA ZARI
10 years ago
Vijimambo12 May
LULU AANIKA SIRI YA KUTEMBEA NA WANAUME WALIOMZIDI UMRI
![](http://api.ning.com/files/t3ZSopUVDgZeV3VKVmnXsXWB0N-MTYQmTvq-7rFwrTjeqyExZK2g8Q-Hvbo4kCLSyOmxHsSLVUGSqGhNamxPRIzuRvKpCM0D/lulu2.jpg?width=650)
Funguka! Sexy lady kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa anapenda kuminya ‘ku-date’ na wanaume wanaomzidi umri kwa sababu wanakuwa na nafasi nyingi katika maisha yake.Elizabeth Michael ‘Lulu’Akizungumza runingani juzikati, Lulu alisema anapenda kuwa na wanaume wanaomzidi kwa sababu wana nafasi tatu katika maisha yake ya kawaida, wanakuwa kama kaka, baba na mpenzi.“Siwezi kuwa na mwanaume ambaye tunalingana kwa sababu atakuwa hana sifa hizo,” alisema...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wUbYkNQKGTF1heMq00nNyAOSdGjQhXfJ6DTiTMCMV6nJKl99u62vrGjcr1fFnFBDu70Qtt6T0OYPPi2P7dNfivp/amini.jpg?width=650)
AMINI AANIKA SIRI NDOA YA FASTA, ABADILI JINA