Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BANZA AANIKA SIRI YA SHAVU DODO LAKE

Stori: Gladness Mallya
Wenye kumbu-kumbu wanafahamu jinsi mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza’ alivyokuwa amekonda lakini sasa anaonekana kuwa na shavu dodo kiasi cha baadhi ya watu kuwa na hisia tofauti ila mwenyewe anaanika siri ya kufutuka ghafla. Mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza’ Akipiga stori na Ijumaa, Banza alisema awali alikuwa hajali suala...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAJUTO AREJEA TOKA MAKKA SHAVU DODO!

Gladness Mallya na Hamida Hassan MABADILIKO! Baada ya kunusurika kwenye vifo vya mkanyagano vilivyoua mahujaji zaidi ya 4000 waliokwenda kuhiji katika mji wa Mina, Makka nchini Saudi Arabia, staa wa filamu za Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ amerejea salama akiwa shavu dodo na kusema ameachana na maisha ya zamani, sasa amekuwa mtu wa tofauti kabisa. Staa wa filamu za Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ alipowasili toka...

 

10 years ago

GPL

DAKTARI AANIKA UGONJWA WA BANZA STONE

Gladness Mallya/ijumaawikienda
Inasikitisha sana! Huku akitundikiwa dripu nyumbani kwao, Sinza ya Vatican jijini Dar, daktari ameanika ugonjwa unaomtesa staa wa muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ kuwa vipimo vinaonesha anashambuliwa na fangasi kichwani (ubongo) na shingoni. Staa wa muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’. YU HOI TENA
Habari zinaeleza kuwa tatizo...

 

11 years ago

GPL

AY AANIKA SIRI IKULU YA OBAMA

Stori: Mwandishi Wetu MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya, Ambwene Yesaya ‘AY’ ameanika siri za Ikulu ya Rais Baraka Obama wa Marekani, baada ya kuitembelea wakati alipokwenda kwa ajili ya shoo akiwa na wenzake tisa kutoka Afrika. Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya, Ambwene Yesaya ‘AY’ akipozi. “Nilipokwenda sikumkuta Rais Obama, alikuwa Minnesota kwa mambo yake, lakini tulipokelewa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tambwe aanika siri ya mabao

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe ametoa siri ya safu ya ushambuliaji ya timu hiyo kufanya vyema kwenye mechi mbalimbali za hivi karibuni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vee Money aanika siri ya Hawajui

MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa Bongo, Vanessa Mdee ‘Vee Money’ amesema aliamua kusambaza ngoma yake mpya ya ‘Hawajui’ baada ya baadhi ya wadau wa muziki huo kusema hakustahili...

 

9 years ago

Bongo Movies

Chuchu Hans Aanika Siri ya Kumkoleza Ray

NINA imani mu-wazima wa afya wasomaji wetu, kama kawa kwenye kolamu hii tumekuwa tukiwaleta mastaa tofautitofauti na kufunguka mambo mbalimbali yahusuyo maisha yao kwenye sanaa na nje ya fani.

Leo tunaye staa wa filamu Bongo, Chuchu Hans ambaye ni mwandani wa msanii mkongwe kwenye ulimwengu wa filamu Bongo, Vincent Kigosi `Ray’ aliyeweza kufunguka mambo mbalimbali kutokana na maswali aliyoulizwa na wasomaji wetu katika kolamu hii wiki iliyopita na kuyatolea ufafanuzi bila hiyana.

Msomaji:...

 

10 years ago

GPL

LADY NAA AANIKA SIRI YA KUMPENDA ZARI

Mtangazaji Lady Naa. Hamida Hassan/ijumaawikienda
KUMBE! Aliyekuwa shemeji wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ wakati ikisemekana anatoka na mtoto wa mbunge, Najma, Mtangazaji Lady Naa ameanika siri juu ya ukaribu wake na mpenzi wa sasa wa Diamond, Zarinah Hassan ‘Zari’ kuwa usitafsiriwe kuwa ni usaliti kwani ndiye anayeshikilia usukani kwa sasa. Lady Naa ameliambia Ijumaa Wikienda kuwa anampenda Zari...

 

10 years ago

GPL

AMANDA AANIKA SIRI NZITO YA KUTOWAPENDA WANAUME

Stori: Gladness Mallya/Risasi
MWANADADA kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Amanda Poshi amefunguka na kueleza siri nzito kuwa hawapendi wanaume kutokana na kufiwa na mchumba wake muda mfupi baada ya kuzungumza naye miaka…iliyopita. Mwanadada kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Amanda Poshi. Akipiga stori na…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani