Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AZIMIO LA TABORA 2015 @ACTWazalendo

View this document on Scribd

Zitto Kabwe, MB

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Turejeshe nchi yetu Tanzania!-Hotuba ya Mzalendo Zitto Kabwe #ACTWazalendo @ACTWazalendo

Turejeshe nchi yetu Tanzania!

Turejeshe nchi yetu Tanzania!

Turejeshe nchi yetu Tanzania!

Watanzania wenzangu, wageni waalikwa

Nawashukuru kwa kuwa pamoja nasi siku hii ya kihistoria.

Karibu Miaka 54 iliyopita tulipopata uhuru, Muasisi na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa kijana mwenye umri wa miaka 39, mwenye matumaini makubwa na taifa jipya na alikuwa na ndoto! Ndoto yake ilikuwa imejikita katika kuhakikisha taifa letu litakuwa taifa lisilo na umaskini, dhiki, ufukara; taifa lisilo na tofauti kubwa...

 

10 years ago

Mwananchi

ACT yazindua Azimio la Tabora

Chama cha ACT-Wazalendo jana kilizindua Azimio la Tabora linalohusu siasa ya ujamaa wa kidemokrasia yenye lengo la kurejesha misingi ya Taifa ya umoja, udugu, uzalendo, uadilifu na uwajibikaji wa viongozi iliyopotea.

 

10 years ago

Raia Mwema

Maswali yangu kuhusu Azimio la Tabora na ACT

NIMEFUATILIA kwa karibu mijadala mbalimbali juu ya suala la Itikadi na Azimio la Tabora.

Issa Shivji

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Tabora kuisulubu CCM 2015

BAADHI ya wakazi mkoani hapa, wamesema kutokana na kuporwa viwanja na mashamba yao na Halmashauri ya Manispaa, watakihukumu chama tawala (CCM), kwenye uchaguzi mkuu mwakani kwa kuhamasishana na ndugu zao...

 

5 years ago

Zitto Kabwe, MB

5 years ago

Zitto Kabwe, MB

Magufuli a transformative or a perfectionist of status quo? @TheCitizenTZ @ACTWazalendo @ZittoKabwe

Magufuli a transformative or a perfectionist of status quo?

Magufuli a transformative or a perfectionist of status quo?

By Zitto Kabwe, MP

General election of 2015 was one of the toughest in Tanzanian history. John Magufuli, a candidate of the ruling party won the election with the lowest proportionate of votes than any other since introduction of multiparty elections in 1995. With 58% of votes, he assumed power and quickly established himself as the landslide victor. President Magufuli started to take actions that sent clear message that his was not...

 

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE ALMAS MAIGE WA TABORA KASKAZINI AFANYA MAKUBWA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM 2015-2020


Jimbo la Tabora Kaskazini ni kati ya Majimbo 12 ya uchaguzi kwa Mkoa wa Tabora, lina Kata 19.

Kwa kuwa mambo mengi yaliyofanywa na Mbunge wa jimbo hilo Ndugu Almas Athuman Maige katika utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichompa ridhaa ya kugombea Ubunge na hatimaye kushinda kuwa Mwakilishi wa wana Tabora Kaskazini kwa nafasi ya Ubunge, yeye na timu yake wametumia mda wao kutengeneza au kuandika Taarifa ya utekelezaji huo katika kipindi cha miaka mitano, kuanzia Oktoba 2015...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tume “Operesheni Tokomeza” kukusanya maoni Mikoa ya Arusha, Manyara, Tabora, Singida na Dodoma, Januari, 2015

IMG_4793

Katibu wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza, Bw.Frederick Manyanda.

Na. Mwandishi Wetu

Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza itakusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa Operesheni Tokomeza Ujangili Nchini mikoa ya Mikoa ya Arusha, Manyara, Tabora, Singida na Dodoma.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa tarehe  24 Desemba, 2014 na Katibu wa Tume hiyo, Bw.Frederick Manyanda, Tume inatarajiwa kuendelea na zoezi la kukusanya maoni na taarifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani