AZIMIO LA TABORA 2015 @ACTWazalendo
View this document on Scribd
Zitto Kabwe, MB
Habari Zinazoendana
10 years ago
Zitto Kabwe, MB17 Jun
ACT WAZALENDO TABORA DECLARATION(ABRIDGED ENGLISH VERSION) @ACTWazalendo
![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3547&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
10 years ago
Zitto Kabwe, MB29 Mar
Turejeshe nchi yetu Tanzania!-Hotuba ya Mzalendo Zitto Kabwe #ACTWazalendo @ACTWazalendo
Turejeshe nchi yetu Tanzania!
![Turejeshe nchi yetu Tanzania!](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2015/03/actzzk.jpg?w=300&h=280)
Turejeshe nchi yetu Tanzania!
Watanzania wenzangu, wageni waalikwa
Nawashukuru kwa kuwa pamoja nasi siku hii ya kihistoria.
Karibu Miaka 54 iliyopita tulipopata uhuru, Muasisi na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa kijana mwenye umri wa miaka 39, mwenye matumaini makubwa na taifa jipya na alikuwa na ndoto! Ndoto yake ilikuwa imejikita katika kuhakikisha taifa letu litakuwa taifa lisilo na umaskini, dhiki, ufukara; taifa lisilo na tofauti kubwa...
10 years ago
Mwananchi14 Jun
ACT yazindua Azimio la Tabora
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
Maswali yangu kuhusu Azimio la Tabora na ACT
NIMEFUATILIA kwa karibu mijadala mbalimbali juu ya suala la Itikadi na Azimio la Tabora.
Issa Shivji
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Wakazi Tabora kuisulubu CCM 2015
BAADHI ya wakazi mkoani hapa, wamesema kutokana na kuporwa viwanja na mashamba yao na Halmashauri ya Manispaa, watakihukumu chama tawala (CCM), kwenye uchaguzi mkuu mwakani kwa kuhamasishana na ndugu zao...
5 years ago
Zitto Kabwe, MB13 Feb
5 years ago
Zitto Kabwe, MB13 Feb
Magufuli a transformative or a perfectionist of status quo? @TheCitizenTZ @ACTWazalendo @ZittoKabwe
![Magufuli a transformative or a perfectionist of status quo?](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2016/02/0p0a9624.jpg?w=700&h=467)
Magufuli a transformative or a perfectionist of status quo?
By Zitto Kabwe, MP
General election of 2015 was one of the toughest in Tanzanian history. John Magufuli, a candidate of the ruling party won the election with the lowest proportionate of votes than any other since introduction of multiparty elections in 1995. With 58% of votes, he assumed power and quickly established himself as the landslide victor. President Magufuli started to take actions that sent clear message that his was not...
5 years ago
CCM Blog17 May
MBUNGE ALMAS MAIGE WA TABORA KASKAZINI AFANYA MAKUBWA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM 2015-2020
Jimbo la Tabora Kaskazini ni kati ya Majimbo 12 ya uchaguzi kwa Mkoa wa Tabora, lina Kata 19.
Kwa kuwa mambo mengi yaliyofanywa na Mbunge wa jimbo hilo Ndugu Almas Athuman Maige katika utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichompa ridhaa ya kugombea Ubunge na hatimaye kushinda kuwa Mwakilishi wa wana Tabora Kaskazini kwa nafasi ya Ubunge, yeye na timu yake wametumia mda wao kutengeneza au kuandika Taarifa ya utekelezaji huo katika kipindi cha miaka mitano, kuanzia Oktoba 2015...
10 years ago
Dewji Blog24 Dec
Tume “Operesheni Tokomeza” kukusanya maoni Mikoa ya Arusha, Manyara, Tabora, Singida na Dodoma, Januari, 2015
Katibu wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza, Bw.Frederick Manyanda.
Na. Mwandishi Wetu
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza itakusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa Operesheni Tokomeza Ujangili Nchini mikoa ya Mikoa ya Arusha, Manyara, Tabora, Singida na Dodoma.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa tarehe 24 Desemba, 2014 na Katibu wa Tume hiyo, Bw.Frederick Manyanda, Tume inatarajiwa kuendelea na zoezi la kukusanya maoni na taarifa...