Turejeshe nchi yetu Tanzania!-Hotuba ya Mzalendo Zitto Kabwe #ACTWazalendo @ACTWazalendo
Turejeshe nchi yetu Tanzania!
![Turejeshe nchi yetu Tanzania!](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2015/03/actzzk.jpg?w=300&h=280)
Turejeshe nchi yetu Tanzania!
Watanzania wenzangu, wageni waalikwa
Nawashukuru kwa kuwa pamoja nasi siku hii ya kihistoria.
Karibu Miaka 54 iliyopita tulipopata uhuru, Muasisi na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa kijana mwenye umri wa miaka 39, mwenye matumaini makubwa na taifa jipya na alikuwa na ndoto! Ndoto yake ilikuwa imejikita katika kuhakikisha taifa letu litakuwa taifa lisilo na umaskini, dhiki, ufukara; taifa lisilo na tofauti kubwa...
Zitto Kabwe, MB
Habari Zinazoendana
10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 Apr
TAMKO LA RASILIMALI NA MADENI-ZITTO ZUBERI KABWE(KIONGOZI WA CHAMA ACT-WAZALENDO) @ACTWazalendo
TAMKO LA RASILIMALI NA MADENI LA NDUGU ZITTO ZUBERI KABWE (KIONGOZI WA CHAMA ACT-WAZALENDO) KWA MUJIBU WA KATIBA YA ACT-WAZALENDO
WEALTH DECLARATION FORMS FOR ZITTO ZUBERI KABWE-PARTY LEADER ACT-WAZALENDO
View this document on Scribd![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3530&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
10 years ago
Zitto Kabwe, MB15 Jun
5 years ago
Zitto Kabwe, MB13 Feb
5 years ago
Zitto Kabwe, MB13 Feb
Magufuli a transformative or a perfectionist of status quo? @TheCitizenTZ @ACTWazalendo @ZittoKabwe
![Magufuli a transformative or a perfectionist of status quo?](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2016/02/0p0a9624.jpg?w=700&h=467)
Magufuli a transformative or a perfectionist of status quo?
By Zitto Kabwe, MP
General election of 2015 was one of the toughest in Tanzanian history. John Magufuli, a candidate of the ruling party won the election with the lowest proportionate of votes than any other since introduction of multiparty elections in 1995. With 58% of votes, he assumed power and quickly established himself as the landslide victor. President Magufuli started to take actions that sent clear message that his was not...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB17 Jun
ACT WAZALENDO TABORA DECLARATION(ABRIDGED ENGLISH VERSION) @ACTWazalendo
![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3547&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
11 years ago
GPLHOTUBA YA MH ZITTO Z. KABWE - KIGOMA – 21 DESEMBA 2013
10 years ago
Vijimambo15 Mar
HOTUBA YA MH ZITTO KABWE (MBUNGE KIGOMA KASKAZINI) ILIYOTOLEWA LEO MACHI 15, 2015
![](http://api.ning.com/files/XswnwlaLlAiT2UTbR8jtJRlB*oi02FF-32ekjSnqqFX2LFdE9U7*OFf1d4Pdgwfe3zWIdUg1ssmvYTWp9ds1jBuOLBsbDnMw/ZITTO.jpg?width=650)
Mwanamapinduzi na Rais wa zamani wa Burkina Faso Thomas Sankara alisema kuwa ili kuleta mabadiliko ya kimapinduzi ni lazima kuwa na hali fulani ya uendawazimu.
Ila tusiufikirie uendawazimu huu wa kuokota makopo bali ule ukichaa mzuri wa kuamini katika mambo au misingi fulani na kuisimamia kwa dhati pamoja na changamoto nyingi.
Kwa kuamini kwa dhati katika mabadiliko haya na kutaka...
10 years ago
GPL![](https://dub123.afx.ms/att/GetInline.aspx?messageid=cf2570cb-cb1d-11e4-9b80-00215ad85708&attindex=0&cp=-1&attdepth=0&imgsrc=cid%3aimage001.jpg%4001D05F43.0B199D60&cid=8c02edf4c2fc7745&shared=1&hm__login=uwazi&hm__domain=hotm)
HOTUBA YA MH ZITTO KABWE (MBUNGE KIGOMA KASKAZINI) ILIYOTOLEWA LEO TAREHE 15 MACHI 2015
11 years ago
Habarileo24 Dec
Kabwe Zitto: Nitahutubia nchi nzima
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto amesema atatembea na kuhutubia mikutano ya hadhara ya wananchi nchi nzima bila kuogopa wala kukatazwa na mtu.