Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baby Jay: Msinisumbue nimeolewa

babyNA SHARIFA MMASI

MKALI wa muziki wa Bongo Fleva kutoka Visiwani Zanzibar, Jamila Abdallah ‘Baby Jay’, amewataka wanaume wakware wanaomsumbua wakimtaka kimapenzi waache tabia hiyo kwa kuwa ameolewa.

Mwanadada huyo alisema muda mwingi amekuwa akipata usumbufu wa simu kutoka kwa watu asiowajua wakimtaka kimapenzi.

“Siwezi kukwepa kutongozwa, lakini usumbufu umekuwa mkubwa, najua wanaofanya hivyo wananifahamu, napenda kupitia hapa niwaombe waache usumbufu mimi nimeolewa nina mume wangu,’’...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Baby Jay aeleza matarajio yake akiwa chini ya uongozi mpya wa Fella na Tale

11910514_1643281142605929_1772135023_n

Mwimbaji mahiri, Baby Jay amesema ana matarajio ya kupiga hatua katika muziki wake baada uongozi mpya wa Mkubwa Fella pamoja na Babu Tale kumchukua na kusimamia kazi zake za muziki.
11910514_1643281142605929_1772135023_n

Baby Jay ameiambia Bongo5 kuwa, ilikuwa ni ndoto yake ya muda mrefu kufanya kazi na uongozi mkubwa ambao utaweza kupeleka mbele muziki wake.

“Kwanza kuja kwa Tale na Fella ni wakati sahihi kwangu. Niwakati ambao nilikuwa naitaji watu ambao nitafanyanao kazi ya uhakika, wamekuja wakati ambao nimekuwa na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema :Kweli Nimeolewa

Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu amemaliza  utaa wa picha zake zilizozagaa mtandaoni  akiwa amavalia shera kwa kuweka wazi kuwa  ni kweli ameolewa.

Leo akiongea  na Soudy Brown kwenye U Heard  ya XXL Clouds FM, Wema ameeleza kuwa Katika kipindi cha xxl cha yeye tayari ni mke wa mtu, na kwamba yeye na mwenza wake huyo  wameshafunga ndoa ya kikistso na  mme wake huyo amekubaliana na hali yake ya kutoweza kupata na mtoto.  Wema aliongeza kua mwisho wa mwezi wa tano watafanya party...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Wanaonipenda Kweli, Wanafiki na Wale Baby Baby NAWAJUA

Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni, bila shaka na wewe ANAKUJUA.

Mnaonipa Moyo na Kunipenda kiukweli....NAWAJUA
Wakuongea Nao Ya Moyoni....NAWAJUA
Wale wa kuni baby baby on IG kumbe Hakuna lolote....NAWAJUA
Wale mnajifanya shoulders to cry on ili mpate kunijua kirahisi...NAWAJUA ila SIWEZI KUWAPA HIYO CHANCE AISEEE...I'm Soleeeeee
Wale tunaochekeana kinafki...NAWAJUA I hope MNANIJUA PIA yani TUNAJUANA
Wale Waukweli kbsa ....NAWAJUA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani