BABY MADAHA, SHILOLE WATIFUANA
![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeKRZbZ-CPp6Chn5dsnUGFdnvt7yn9h*St-LDl1B9CguAVr9**52xL*xQZ57wurfhwUewNYlCTlog5F-eTrwFcDk/shilole.jpg)
Stori: Gladness Mallya MTIFUANO mzito umeibuka kati ya mastaa wa Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na Baby Madaha baada ya kurushiana vijembe. Staa wa Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Awali katika gazeti la Amani toleo la wiki iliyopita, Baby Madaha alinukuliwa akisema kuwa Mwezi wa Ramadhani unambana kiuchumi, kwa vile kumbi nyingi za starehe zimefungwa, hivyo anakosa shoo. Akizungumza na Risasi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt4*i19eHM-ZPJiU*SHvZvtFlNqSQUeN9ntPFhj*IIEhdGj5iPAYzgnrFOGvc3XCHAJtCovpi7IgiFZay2NWHjtV/shishi.jpg?width=650)
SHILOLE: BABY MADAHA HAJIELEWI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nkvdZEQNy6zqzOy-mH5uSiR-AK1NI-NScyW1uG36DlAehuM2CmW0W9w8Z2*Qf2BYY97qqbT7ubDb3E6Sf*MeIRB8hzS65gIh/baby.jpg?width=650)
BABY MADAHA: SHILOLE NI MCHEZA VIGODORO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55I7ZlFg1qyxYmxm997bDtMCrfjr**5A8IjAerXx*xDFx9X7avQ-yCqomGic-nbEYiblsZ3UEwMyLKhkKCTnAzrV/MADAHA.jpg?width=650)
BABY MADAHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QfDS7z72QT0FfVBe7jmds2qNwCFvrMcclbw*ReRFdb0uxCJYQiOlq2ubuaIqxnilcFB8TG7FwjugqUuT3xt5xck/MADAHA.jpg?width=650)
BABY MADAHA: NIMEUMBUKA!
11 years ago
Michuzi11 Feb
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJAkpYW*qkqn1yJYTcBx7y*Csoh8CsJJeO1ywdjtipA4496P3FY0DN2VNgHebGVNDrZVLC47Q3mvnvDfA9tQJX4m/MADAHA.jpg?width=650)
BABY MADAHA AUMBUKA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqpge2cnGfgcNkLs3NEJAHFPvZHmPHen-wuS*TSSDFF0Y-2gfWKrmwmx26EVex*CGz1Kpeazz*6EU6nLha5riK6x/timthumb.jpg?width=650)
BABY MADAHA AREJEA NA MBWEMBWE
10 years ago
Mtanzania05 Feb
Baby Madaha atamani mtoto
NA SHARIFA MMASI, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI na msanii wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha, amesema anatamani kuitwa mama kama ilivyo kwa wanawake wengine wenye watoto. Akizungumza na MTANZANIA jana, Baby Madaha, alisema amepanga kufanikisha ndoto zake za kuwa mama mwaka huu. “Kiukweli natamani sana kupata mtoto, nafarijika nikisikia na kuona wenzangu wanaitwa mama, ni jambo la busara na kumuomba Mungu ili litimie,” alisema Baby Madaha. Madaha alisema wasanii wengi wamefululiza kuzaa jambo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH7Sg8atPnA1hfwE0waUvSaQYtrIcwhyo3NQ74KP0RnbBdqfKg8noH0FLNJ4ZFm*MF*YdOLaZKOWnxmjDzAXsvmX/madaha.jpg?width=650)
BABY MADAHA NUSU ABAKWE