SHILOLE: BABY MADAHA HAJIELEWI
![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt4*i19eHM-ZPJiU*SHvZvtFlNqSQUeN9ntPFhj*IIEhdGj5iPAYzgnrFOGvc3XCHAJtCovpi7IgiFZay2NWHjtV/shishi.jpg?width=650)
Na Shani Ramadhani STAA wa Mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amemfungukia msanii mwenzake, Baby Joseph Madaha kwamba hajielewi. Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Shilole ametoa kauli hiyo siku chache baada ya kuchanwa gazetini na Baby Madaha kwa kuambiwa kuwa yeye ni mcheza vigodoro.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeKRZbZ-CPp6Chn5dsnUGFdnvt7yn9h*St-LDl1B9CguAVr9**52xL*xQZ57wurfhwUewNYlCTlog5F-eTrwFcDk/shilole.jpg)
BABY MADAHA, SHILOLE WATIFUANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nkvdZEQNy6zqzOy-mH5uSiR-AK1NI-NScyW1uG36DlAehuM2CmW0W9w8Z2*Qf2BYY97qqbT7ubDb3E6Sf*MeIRB8hzS65gIh/baby.jpg?width=650)
BABY MADAHA: SHILOLE NI MCHEZA VIGODORO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55I7ZlFg1qyxYmxm997bDtMCrfjr**5A8IjAerXx*xDFx9X7avQ-yCqomGic-nbEYiblsZ3UEwMyLKhkKCTnAzrV/MADAHA.jpg?width=650)
BABY MADAHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJAkpYW*qkqn1yJYTcBx7y*Csoh8CsJJeO1ywdjtipA4496P3FY0DN2VNgHebGVNDrZVLC47Q3mvnvDfA9tQJX4m/MADAHA.jpg?width=650)
BABY MADAHA AUMBUKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QfDS7z72QT0FfVBe7jmds2qNwCFvrMcclbw*ReRFdb0uxCJYQiOlq2ubuaIqxnilcFB8TG7FwjugqUuT3xt5xck/MADAHA.jpg?width=650)
BABY MADAHA: NIMEUMBUKA!
11 years ago
Michuzi11 Feb
10 years ago
Mtanzania05 Feb
Baby Madaha atamani mtoto
NA SHARIFA MMASI, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI na msanii wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha, amesema anatamani kuitwa mama kama ilivyo kwa wanawake wengine wenye watoto. Akizungumza na MTANZANIA jana, Baby Madaha, alisema amepanga kufanikisha ndoto zake za kuwa mama mwaka huu. “Kiukweli natamani sana kupata mtoto, nafarijika nikisikia na kuona wenzangu wanaitwa mama, ni jambo la busara na kumuomba Mungu ili litimie,” alisema Baby Madaha. Madaha alisema wasanii wengi wamefululiza kuzaa jambo...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Baby Madaha amsaka Mtitu
MWIGIZAJI wa filamu za Kibongo, Baby Madaha kwa wiki moja sasa amekuwa akimsaka Mkurugenzi wa kampuni ya 5 Effects, William Mtitu ili amkabidhi ‘muvi’ yake mpya inayokwenda kwa jina la...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqpge2cnGfgcNkLs3NEJAHFPvZHmPHen-wuS*TSSDFF0Y-2gfWKrmwmx26EVex*CGz1Kpeazz*6EU6nLha5riK6x/timthumb.jpg?width=650)
BABY MADAHA AREJEA NA MBWEMBWE