BADO SIJAMUONA MSHINDI NDANI YA CCM!
![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5PotfskBAg5yBcAMDLDPGn4XWIIt54JakIb1eC2sdFZM3ZboP2ukpduh*owujukn**ECUH-hdZ3NV2Zf8LDAylp/14.jpg?width=650)
Katibu Mkuu wa chama tawala (CCM), Abdulrahman Kinana. NCHI ipo katika vuguvugu la uchaguzi mkuu, ambao data za awali zinasema utafanyika Oktoba 25, mwaka huu. Ni takriban miezi sita na ushee kuanzia sasa. Kwetu sisi wapigakura, ni muda mrefu umebaki, lakini kwa wanasiasa na wakubwa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), muda ni kama hautoshi. Ingawa tunaambiwa kuwepo kwa mgogoro ndani ya vyama vya upinzani, hasa Umoja wa Katiba ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Zitto Kabwe, MB02 Oct
Zitto Kabwe: Bado Sijamuona mtu mwenye sifa za urais (Rai /Alhamisi Oktoba 2-8, 2014)
![](http://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3405&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Mshindi wa pili “Mtoko wa Mbugani” akivinjari ndani ya hifadhi ya Serengeti
Mshindi wa pili wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Deogratias Peter Mbogole (kushoto) akiwa na rafiki yake Goodluck Shirima(kulia) ndani ya hifadhi ya taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku mbili ndani ya hifadhi hiyo…Hapa ni Tarangire river view waliposimama kujionea kundi kubwa la tembo wakivuka barabara. Deo aliibuka mshindi mara baada ya kushiriki kwenye shindano linaloendelea la “Tutoke na Serengeti” linaloendeshwa na SBL kwa ushirikino na BPESA.
Mshindi wa mtoko wa...
10 years ago
Michuzi10 Jan
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Nguo za ndani za mitumba bado Uganda
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Bado hatujaelewa umuhimu wa michezo ya ndani
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/GRcdb-x-Fsg/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VVBi9iKpbLk/U7RTRNfR7II/AAAAAAAFucM/49WPOh27U8o/s72-c/unnamed.jpg)
JESHI LA MAGEREZA LAIBUKA MSHINDI WA KWANZA KATIKA UTENGENEZAJI BORA WA SAMANI ZA NDANI MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA, JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-VVBi9iKpbLk/U7RTRNfR7II/AAAAAAAFucM/49WPOh27U8o/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-l1ZxiV7v-3k/U7RTe_keIlI/AAAAAAAFucU/6zhDREvHAjc/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
Habarileo27 Jul
Diwani wa Chadema ampigia debe CCM na kuibuka mshindi
KATIKA hali isiyo ya kawaida Diwani wa Chadema katika kata ya Masoko wilayani Mbeya, juzi aliwashangaza watu baada ya kujikuta akimpigia kampeni diwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi wa kumpata Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri.
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
Mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa Mbugani” wa kampeni ya Tutoke na Serengeti akila bata ndani ya hifadhi ya Serengeti
Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Gabriel Robert Moriale (Kulia) akiwa na kaka yake Bw.Joshua Robert Moriale (Kushoto) walipowasili mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro jijini Arusha tayari kwa kuanza safari ya kwenda Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku tatu ndani ya hifadhi hiyo. Robert aliibuka mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa mbugani” baada ya kushiriki kwenye kampeni ya “Tutoke na Serengeti” iliyoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa...