Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bado hatujaelewa umuhimu wa michezo ya ndani

Ninakumbuka mwaka 2013 serikali ya China iliikabidhi rasmi serikali ya Tanzania Uwanja wa Taifa uliopo Dar es Salaam, ambao umejengwa kwa ubia kati ya serikali hizo mbili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tujifunze umuhimu wa michezo kwa wenzetu

Mashindano ya 13 ya Shirikisho la Shule za Sekondari Afrika Mashariki na Kati (Feasssa) yalifunguliwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Michuzi

BADO MAHALI INA UMUHIMU MKUBWA KATIKA KABILA LA WAKURYA NCHINI TANZANIA.

Kulia ni Mzee Hezekia (Maina) Binagi wa Kenyamanyori Tarime Mkoani Mara akipokea Mahali ya binti wa Kaka yake kutoka kwa Mzee Samweli Chaha Kebasa (Kushoto) Mkazi wa Rebu Tarime.Na:George GB PazzoBaadhi ya Watu wamekuwa wakiita ni Zawadi inayotolewa kwa Wazazi ama Walezi pindi binti anapokuwa katika mipango ya kuolewa. Lakini kwa umaarufu wake, watu wengi wamekuwa wakiita Mahali.


Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na majadiliano makali juu ya dhana halisi ya Mahali. Hoja mbalimbali zimekuwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Umuhimu wa wafanyakazi wenye ujuzi ndani ya sekta ya utalii

20151207_104824

Meneja Mkazi wa kampuni ya JovagoTanzania, Bw. Andrea Guzzoni.

 “Maendeleo ndani ya sekta ya Utalii hayawezi kufikia kiwango nzuri iwapo hakutakuwa na wafanyakazi wenye ujuzi wa kutosha”

Kukua kwa sekta ya utalii kunategemea hudumu za ukarimu kwa kiasi kikubwa. Huduma hizi zinapaswa kufanywa na wajuzi waliobobea ndani ya sekta  ili kuweza kuwaridhisha wageni na kuleta maendeleo katika soko hili la utalii.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Meneja Mkazi wa kampuni ya...

 

10 years ago

GPL

BADO SIJAMUONA MSHINDI NDANI YA CCM!

Katibu Mkuu wa chama tawala (CCM), Abdulrahman Kinana. NCHI ipo katika vuguvugu la uchaguzi mkuu, ambao data za awali zinasema utafanyika Oktoba 25, mwaka huu. Ni takriban miezi sita na ushee kuanzia sasa. Kwetu sisi wapigakura, ni muda mrefu umebaki, lakini kwa wanasiasa na wakubwa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), muda ni kama hautoshi. Ingawa tunaambiwa kuwepo kwa mgogoro ndani ya vyama vya upinzani, hasa Umoja wa Katiba ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nguo za ndani za mitumba bado Uganda

Nguo kuukuu au mitumba bado ni za bei nafuu hususan kwa walala hoi nchini Uganda na maeneo mengine ya Afrika Mashariki.

 

10 years ago

Michuzi

MICHEZO YA SHIMIWI: MAMBO YA NDANI YAIPIGA ARDHI 1- 0 KATIKA SOKA

Mchezaji wa timu ya soka ya Ardhi, Martin Utonga (kulia) akiwania mpira pamoja na beki namba mbili wa timu ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ibrahim Msumai (kushoto) katika mchezo wa SHIMIWI uliofanyika leo uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.Mambo ya Ndani ilishinda kwa bao 1-0.Picha na Happiness Shayo

 

10 years ago

Vijimambo

TASWA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO 'SUPER D' AKIWEMO NDANI

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D akifuatilia kwa makini mafunzo ya uandishi wa habari za michezo zilizoandaliwa na chama cha waandishi wa habari za michezo TASWA zilizofanyika Dar es salaam jana na kudhaminiwa na Times Radio na Valentino Royal HotelMwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Bw. Dioniz Malinzi, akimkabizi cheti Rajabu Mhamila baada ya mafunzo ya uhandishi wa habari kulia ni mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto na Katibu Mkuu wa Mchezo wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani