BADO MAHALI INA UMUHIMU MKUBWA KATIKA KABILA LA WAKURYA NCHINI TANZANIA.
Kulia ni Mzee Hezekia (Maina) Binagi wa Kenyamanyori Tarime Mkoani Mara akipokea Mahali ya binti wa Kaka yake kutoka kwa Mzee Samweli Chaha Kebasa (Kushoto) Mkazi wa Rebu Tarime.Na:George GB PazzoBaadhi ya Watu wamekuwa wakiita ni Zawadi inayotolewa kwa Wazazi ama Walezi pindi binti anapokuwa katika mipango ya kuolewa. Lakini kwa umaarufu wake, watu wengi wamekuwa wakiita Mahali.
Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na majadiliano makali juu ya dhana halisi ya Mahali. Hoja mbalimbali zimekuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 May
‘Tanzania ina uhaba mkubwa wa damu’
TANZANIA inakabiliwa na uhaba mkubwa wa damu katika hospitali na vituo vya afya ambapo mahitaji ya mwaka ni chupa 400,000 lakini zinazopatikana ni 160,000. Uhaba huo umebainishwa jana jijini Dar...
9 years ago
StarTV30 Sep
Tanzania bado ina idadi ndogo ya wanawake wamiliki ardhi
Tafiti kuhusu masuala ya ardhi zimeonyesha kuwa Tanzania bado ina idadi kubwa ya wanawake ambao hawana uelewa kuhusu umuhimu wa kumiliki ardhi na matumizi yake kiuchumi kutokana na uwepo wa mfumo dume katika maeneo mengi nchini.
Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012, asilimia 51 ya idadi ya wananchi ni wanawake, asilimia 19 wakiwa ndiyo wanaomiliki ardhi na kuitumia katika masuala ya maendeleo.
Pamoja na uwepo wa Sheria ya Ardhi na Taasisi mbalimbali zinazohusu matumizi ya ardhi kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HRTez0bJclA/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxeqXVdiF*zwz1vyzStXZ0oMjl*4cTpaZ2mPoQgWfBoB3puNuM-LiifVmRsLb0jTu11I0yz85JpyIP7nCWHosnJS8/pasua.jpg?width=650)
UMUHIMU WA KUPATA KATIBA MPYA ILIYOPO INA MIANYA YA RUSHWA
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Nanai: Sekta binafsi ina mchango mkubwa
9 years ago
Bongo504 Jan
Martin Kadinda aeleza Tanzania ina nafasi gani katika fashion kimataifa
![Kadinda](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Kadinda-300x194.jpg)
Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda amesema Tanzania imepiga hatua nzuri katika mitindo kimataifa kutokana na bidhaa nyingi za wabanifu wa Tanzania kuchangamkiwa nje ya nchi.
Kadinda ambaye alishinda tuzo ‘East African Fashion Designer of the Year’ nchini Kenya, ameiambia Bongo5 kuwa ukiona Mtanzania anachukua tuzo kubwa nje ya nchi hiyo ni dalili kuwa wanafanya vizuri.
“Kitendo cha Martin Kadinda kuwa best designer wa East Africa ni tumefika sehemu nzuri kwa sababu katika East...
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Bado hatujaelewa umuhimu wa michezo ya ndani
10 years ago
Mwananchi04 Oct
Warioba: Katiba bado ina maswali mengi