Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BADO MAHALI INA UMUHIMU MKUBWA KATIKA KABILA LA WAKURYA NCHINI TANZANIA.

Kulia ni Mzee Hezekia (Maina) Binagi wa Kenyamanyori Tarime Mkoani Mara akipokea Mahali ya binti wa Kaka yake kutoka kwa Mzee Samweli Chaha Kebasa (Kushoto) Mkazi wa Rebu Tarime.Na:George GB PazzoBaadhi ya Watu wamekuwa wakiita ni Zawadi inayotolewa kwa Wazazi ama Walezi pindi binti anapokuwa katika mipango ya kuolewa. Lakini kwa umaarufu wake, watu wengi wamekuwa wakiita Mahali.


Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na majadiliano makali juu ya dhana halisi ya Mahali. Hoja mbalimbali zimekuwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Tanzania ina uhaba mkubwa wa damu’

TANZANIA inakabiliwa na uhaba mkubwa wa damu katika hospitali na vituo vya afya ambapo mahitaji ya mwaka ni chupa 400,000 lakini zinazopatikana ni 160,000. Uhaba huo umebainishwa jana jijini Dar...

 

9 years ago

StarTV

Tanzania bado ina idadi ndogo ya wanawake wamiliki ardhi

Tafiti kuhusu masuala ya  ardhi  zimeonyesha kuwa Tanzania bado  ina idadi kubwa ya wanawake ambao hawana uelewa kuhusu umuhimu wa kumiliki ardhi  na matumizi yake kiuchumi kutokana na uwepo wa mfumo dume katika maeneo mengi nchini.

Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012, asilimia 51 ya idadi ya wananchi ni wanawake, asilimia 19 wakiwa ndiyo wanaomiliki ardhi na kuitumia katika masuala ya maendeleo.

Pamoja na uwepo wa Sheria ya Ardhi na Taasisi mbalimbali zinazohusu matumizi ya ardhi kwa...

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WA KUPATA KATIBA MPYA ILIYOPO INA MIANYA YA RUSHWA

NIMSHUKURU Mungu kwa kutuweka hai leo, hakika yeye ni mwema.
Baada ya kusema hayo niseme kwamba leo nitazungumzia umuhimu wa kuwa na katiba mpya na kuachana na hii tuliyonayo ya mwaka 1977 ambayo hakika ina upungufu mwingi na hasa kuhusiana na deni la taifa. Hivi sasa deni la taifa limefikia shilingi trilioni 30.6, na ukisoma Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 utagundua kuwa imechangia kwa kiasi fulani kwa kutolipa Bunge la...

 

10 years ago

Mwananchi

Nanai: Sekta binafsi ina mchango mkubwa

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Francis Nanai ameiomba Serikali kuongeza ushirikiano na sekta binafsi kwa kuwa inatoa mchango mkubwa kwenye maendeleo ya Taifa.

 

9 years ago

Bongo5

Martin Kadinda aeleza Tanzania ina nafasi gani katika fashion kimataifa

Kadinda

Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda amesema Tanzania imepiga hatua nzuri katika mitindo kimataifa kutokana na bidhaa nyingi za wabanifu wa Tanzania kuchangamkiwa nje ya nchi.

Kadinda

Kadinda ambaye alishinda tuzo ‘East African Fashion Designer of the Year’ nchini Kenya, ameiambia Bongo5 kuwa ukiona Mtanzania anachukua tuzo kubwa nje ya nchi hiyo ni dalili kuwa wanafanya vizuri.

“Kitendo cha Martin Kadinda kuwa best designer wa East Africa ni tumefika sehemu nzuri kwa sababu katika East...

 

9 years ago

Mwananchi

Bado hatujaelewa umuhimu wa michezo ya ndani

Ninakumbuka mwaka 2013 serikali ya China iliikabidhi rasmi serikali ya Tanzania Uwanja wa Taifa uliopo Dar es Salaam, ambao umejengwa kwa ubia kati ya serikali hizo mbili.

 

10 years ago

Mwananchi

Warioba: Katiba bado ina maswali mengi

>Siku moja baada ya Bunge Maalumu la Katiba kupitisha Katiba inayopendekezwa, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema Katiba hiyo bado ina maswali mengi kuliko majibu, hasa katika muungano na mgombea binafsi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani