BADO SIKU 2: MAGUFULI ATOSHA URAIS OKTOBA 25
![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN-pXbjozHJ6bbOkiSnUKrObvpob6gZXWHtjaM37hQjBwIHq7K*NFnVODnPS0h1M0NB9tGDMf1FC*tRNQmzQNR*O/1copy.jpg?width=750)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Zitto Kabwe, MB02 Oct
Zitto Kabwe: Bado Sijamuona mtu mwenye sifa za urais (Rai /Alhamisi Oktoba 2-8, 2014)
![](http://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3405&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
10 years ago
Dewji Blog12 Jul
Magufuli kupeperusha bendera ya CCM kiti cha Urais Oktoba 2015
1. Mh. John Magufuli amepata kura 2104 sawa na Asilimia 87.1%
2. Balozi Amina Salim 253 sawa na Asilimia 10.5..
3. Mh. Asha-Rose Migiro kura 59 sawa na 2.4%
Kura zilizopigwa 2422,
Kura zilizoharibika 6,
Kura halali 2416,
Kwa mujibu wa Mh.Makinda
Hatimae Mh Dr. John Pombe Magufuli apendekezwa kupeperusha Bendera ya CCM nafasi ya urais kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu katika kikao cha Mkutano mkuu wa chama hicho mjini Dodoma
Jiandikishe ili uweze kupiga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kdMJYk0IcuI/XvOFyD83OcI/AAAAAAALvTI/Am3vXUyoQ7E5IcspwdvFkjmll2zWCL-bACLcBGAsYHQ/s72-c/1-47-2048x1353.jpg)
MREMA: RAIS MAGUFULI NDIYE MGOMBEA WETU WA URAIS UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kdMJYk0IcuI/XvOFyD83OcI/AAAAAAALvTI/Am3vXUyoQ7E5IcspwdvFkjmll2zWCL-bACLcBGAsYHQ/s640/1-47-2048x1353.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1b-2-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augistino Lyatonga Mrema akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani), kuhusu kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka huu 2020.
*********************************
Na Mwandishi Wetu, MAELEZO,
DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour Party, Augustino Mrema amesema chama hicho kinaendelea na msimamo wake wa kumuunga mkono, Rais Dkt. John Magufuli kuwa mgombea wake wa nafasi ya...
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI ASEMA BADO SIKU 12 KUWA RAIS WATtANZANIA
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Magufuli apokelewa kama mfalme Kigoma, wananchi wakiri wazi atosha kuwa rais
![](http://2.bp.blogspot.com/-7rzNdszDB3I/Vfmn1e0vHfI/AAAAAAAC_Oo/68ISlIok4e4/s640/_MG_7139.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu ya wananchi waliofurika kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za Urais,uliofanyika katika uwanja wa Kawawa,mkoani Kigoma jioni ya jana. (PICHA NA MICHUZI JR-KIGOMA).
![](http://2.bp.blogspot.com/-WDp8hOlkLZQ/Vfmn2xtLXqI/AAAAAAAC_Ow/InWNnIupFS8/s640/_MG_7142.jpg)
Dkt Magufuli amewaambia wananchi wa Kigoma kwenye mkutano wa kampeni jana jioni kwenye uwanja wa kawawa kuwa Serikali yake kwa sehemu kubwa itakuwa upande wa wananchi wanyonge ili hatimaye wawe na maisha...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7rzNdszDB3I/Vfmn1e0vHfI/AAAAAAAC_Oo/68ISlIok4e4/s72-c/_MG_7139.jpg)
MAGUFULI APOKELEWA KAMA MFALME KIGOMA,WANANCHI WAKIRI WAZI ATOSHA KUWA RAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-7rzNdszDB3I/Vfmn1e0vHfI/AAAAAAAC_Oo/68ISlIok4e4/s640/_MG_7139.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WDp8hOlkLZQ/Vfmn2xtLXqI/AAAAAAAC_Ow/InWNnIupFS8/s640/_MG_7142.jpg)
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Mdahalo wa wagombea urais Oktoba 18
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Siku ya Msanii kuadhimishwa Oktoba 25
BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata), kwa kushirikiana na Kampuni ya Haak Neel Production ya jijini Dar es Salaam, wameanzisha Siku ya Msanii Tanzania, ikiwa ni hatua ya kutambua mchango...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Oktoba 25, siku muhimu ya mabadiliko ya Watanzania
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10