Magufuli apokelewa kama mfalme Kigoma, wananchi wakiri wazi atosha kuwa rais
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu ya wananchi waliofurika kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za Urais,uliofanyika katika uwanja wa Kawawa,mkoani Kigoma jioni ya jana. (PICHA NA MICHUZI JR-KIGOMA).
![](http://2.bp.blogspot.com/-WDp8hOlkLZQ/Vfmn2xtLXqI/AAAAAAAC_Ow/InWNnIupFS8/s640/_MG_7142.jpg)
Dkt Magufuli amewaambia wananchi wa Kigoma kwenye mkutano wa kampeni jana jioni kwenye uwanja wa kawawa kuwa Serikali yake kwa sehemu kubwa itakuwa upande wa wananchi wanyonge ili hatimaye wawe na maisha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7rzNdszDB3I/Vfmn1e0vHfI/AAAAAAAC_Oo/68ISlIok4e4/s72-c/_MG_7139.jpg)
MAGUFULI APOKELEWA KAMA MFALME KIGOMA,WANANCHI WAKIRI WAZI ATOSHA KUWA RAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-7rzNdszDB3I/Vfmn1e0vHfI/AAAAAAAC_Oo/68ISlIok4e4/s640/_MG_7139.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WDp8hOlkLZQ/Vfmn2xtLXqI/AAAAAAAC_Ow/InWNnIupFS8/s640/_MG_7142.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tkeZa42HjVI/ViKZB40cMkI/AAAAAAAIAl4/k2usBhNhw0E/s72-c/_MG_7029.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAKIRI WAZI HAIJAPATA KUTOKEA,WAELEZA HISIA ZAO KUWA MAGUFULI ANATOSHA NAFASI YA URAIS.
![](http://1.bp.blogspot.com/-tkeZa42HjVI/ViKZB40cMkI/AAAAAAAIAl4/k2usBhNhw0E/s640/_MG_7029.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mMl3fEogN20/ViKZFhd8cxI/AAAAAAAIAmA/e-wCJ0YN42o/s640/_MG_7034.jpg)
11 years ago
Michuzi05 Mar
GODFREY MGIMWA APOKELEWA KAMA MFALME KIJIJINI KWAO MAGUNGA
![](https://3.bp.blogspot.com/-xzvu99U0soc/Uxc3jhpN5WI/AAAAAAAAnRM/a5Lj4SJJPGI/s1600/01.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sA3u8b-h2eM/VBdI_nB-l5I/AAAAAAACrA4/BOK1KYazvMs/s72-c/1.jpg)
WAKAZI WA TABORA WAKIRI WAZI KUWA MASOKO NDIO CHANGAMOTO YAO KUBWA KATIKA SHUGHULI ZAO ZA UJASILIAMALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-sA3u8b-h2eM/VBdI_nB-l5I/AAAAAAACrA4/BOK1KYazvMs/s1600/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-sA3u8b-h2eM/VBdI_nB-l5I/AAAAAAACrA4/BOK1KYazvMs/s1600/1.jpg)
WAKAZI WA TABORA WAKIRI WAZI KUWA MASOKO NDIO CHANGAMOTO YAO KUBWA KATIKA SHUGHULI ZAO ZA UJASILIAMALI
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Chameleone apokelewa kama rais Congo
KINSHASA, CONGO
NYOTA wa muziki nchini Uganda, Joseph Mayanja ‘Jose Chameleone’, amezidi kung’aa nchini Congo mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya mapokezi yake kufananishwa na ya rais.
Msanii huyo ambaye anafanya vizuri zaidi ya miaka 16 nchini Uganda, aliwashangaza mashabiki nchini Congo baada ya kuwasili kwa ajili ya onyesho lake, ambapo kwenye uwanja wa ndege alipokelewa na wanajeshi na polisi kama ilivyo katika mapokezi ya rais hivyo kuwashangaza wasanii wakubwa nchini humo.
Hata hivyo,...
11 years ago
GPLDIAMOND APOKELEWA KAMA RAIS AKITOKEA ‘AFRIMMA’ MAREKANI
9 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Dkt John Magufuli aapishwa kuwa Rais wa Tanzania, aahidi kuwatumikia wananchi ‘nina deni kubwa’
![ma35](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/ma35-300x194.jpg)
Dokta John Pombe Magufuli, Alhamis hii ameapishwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyohudhuriwa na wananchi pamoja na viongozi wa nchi mbalimbali barani Afrika.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Pombe Magufuli akiapishwa Alhamis hii
Ikiwa ni siku iliyotangazwa na Rais aliyeondoka madarakani Jakaya Kikwete kuwa ya mapumziko, wananchi wengi walishuhudia kuapishwa kwa Magufuli kupitia runinga zao. Wengine walisikiliza matangazo...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN-pXbjozHJ6bbOkiSnUKrObvpob6gZXWHtjaM37hQjBwIHq7K*NFnVODnPS0h1M0NB9tGDMf1FC*tRNQmzQNR*O/1copy.jpg?width=750)