DIAMOND APOKELEWA KAMA RAIS AKITOKEA ‘AFRIMMA’ MAREKANI
Waendesha bodaboda wakiongoza msafara huo. Diamond akiwa juu ya gari akiwa ameshikilia tuzo aliyopata. Watu mbalimbali wakitembea kwa miguu katika msafara huo kumpokea shujaa…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLDIAMOND KAMA KAWA, ATWAA TUZO AFRIMMA
11 years ago
Bongo527 Jul
Diamond na Lady Jaydee washinda tuzo za AFRIMMA 2014 zilizofanyika Marekani
9 years ago
Bongo508 Oct
Picha: Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz waenda Marekani kwenye tuzo za Afrimma
11 years ago
Bongo522 Jul
Tuzo za AFRIMMA kufanyika Jumamosi hii (July 26) Marekani, T-Pain, Davido, Diamond, Iyanya kutumbuiza
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Chameleone apokelewa kama rais Congo
KINSHASA, CONGO
NYOTA wa muziki nchini Uganda, Joseph Mayanja ‘Jose Chameleone’, amezidi kung’aa nchini Congo mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya mapokezi yake kufananishwa na ya rais.
Msanii huyo ambaye anafanya vizuri zaidi ya miaka 16 nchini Uganda, aliwashangaza mashabiki nchini Congo baada ya kuwasili kwa ajili ya onyesho lake, ambapo kwenye uwanja wa ndege alipokelewa na wanajeshi na polisi kama ilivyo katika mapokezi ya rais hivyo kuwashangaza wasanii wakubwa nchini humo.
Hata hivyo,...
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Magufuli apokelewa kama mfalme Kigoma, wananchi wakiri wazi atosha kuwa rais
![](http://2.bp.blogspot.com/-7rzNdszDB3I/Vfmn1e0vHfI/AAAAAAAC_Oo/68ISlIok4e4/s640/_MG_7139.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia maelfu ya wananchi waliofurika kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za Urais,uliofanyika katika uwanja wa Kawawa,mkoani Kigoma jioni ya jana. (PICHA NA MICHUZI JR-KIGOMA).
![](http://2.bp.blogspot.com/-WDp8hOlkLZQ/Vfmn2xtLXqI/AAAAAAAC_Ow/InWNnIupFS8/s640/_MG_7142.jpg)
Dkt Magufuli amewaambia wananchi wa Kigoma kwenye mkutano wa kampeni jana jioni kwenye uwanja wa kawawa kuwa Serikali yake kwa sehemu kubwa itakuwa upande wa wananchi wanyonge ili hatimaye wawe na maisha...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7rzNdszDB3I/Vfmn1e0vHfI/AAAAAAAC_Oo/68ISlIok4e4/s72-c/_MG_7139.jpg)
MAGUFULI APOKELEWA KAMA MFALME KIGOMA,WANANCHI WAKIRI WAZI ATOSHA KUWA RAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-7rzNdszDB3I/Vfmn1e0vHfI/AAAAAAAC_Oo/68ISlIok4e4/s640/_MG_7139.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WDp8hOlkLZQ/Vfmn2xtLXqI/AAAAAAAC_Ow/InWNnIupFS8/s640/_MG_7142.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cGVCcnrr0ag/Ve68GlVPTlI/AAAAAAAH3SE/MAr1Xmy8xHU/s72-c/_MG_3138.jpg)
MAGUFULI APOKELEWA KWA KISHINDO LEO MCHANA WILAYA YA MUHEZA AKITOKEA WILAYA YA HANDENI MKOANI TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-cGVCcnrr0ag/Ve68GlVPTlI/AAAAAAAH3SE/MAr1Xmy8xHU/s640/_MG_3138.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ivQRUbeccjw/Ve68HA24R2I/AAAAAAAH3SI/KyVDpOvNyfs/s640/_MG_3165.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7q0jt56p8ZU/Ve68J7SNMsI/AAAAAAAH3SU/uTDrcEwzdC8/s640/_MG_3187.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ZqiOx8KlkvI/default.jpg)