Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chameleone apokelewa kama rais Congo

ChameleoneKINSHASA, CONGO

NYOTA wa muziki nchini Uganda, Joseph Mayanja ‘Jose Chameleone’, amezidi kung’aa nchini Congo mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya mapokezi yake kufananishwa na ya rais.

Msanii huyo ambaye anafanya vizuri zaidi ya miaka 16 nchini Uganda, aliwashangaza mashabiki nchini Congo baada ya kuwasili kwa ajili ya onyesho lake, ambapo kwenye uwanja wa ndege alipokelewa na wanajeshi na polisi kama ilivyo katika mapokezi ya rais hivyo kuwashangaza wasanii wakubwa nchini humo.

Hata hivyo,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

DIAMOND APOKELEWA KAMA RAIS AKITOKEA ‘AFRIMMA’ MAREKANI

Waendesha bodaboda wakiongoza msafara huo. Diamond akiwa juu ya gari akiwa ameshikilia tuzo aliyopata. Watu mbalimbali wakitembea kwa miguu katika msafara huo kumpokea shujaa…

 

10 years ago

Dewji Blog

Magufuli apokelewa kama mfalme Kigoma, wananchi wakiri wazi atosha kuwa rais

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia  maelfu ya wananchi waliofurika kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za Urais,uliofanyika katika uwanja wa Kawawa,mkoani Kigoma jioni ya jana. (PICHA NA MICHUZI JR-KIGOMA).

Dkt Magufuli amewaambia wananchi wa Kigoma kwenye mkutano wa kampeni jana jioni kwenye uwanja wa kawawa kuwa Serikali yake kwa sehemu kubwa itakuwa upande wa wananchi wanyonge ili hatimaye wawe na maisha...

 

10 years ago

Michuzi

MAGUFULI APOKELEWA KAMA MFALME KIGOMA,WANANCHI WAKIRI WAZI ATOSHA KUWA RAIS

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia  maelfu ya wananchi waliofurika kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za Urais,uliofanyika katika uwanja wa Kawawa,mkoani Kigoma jioni ya leo.
 Dkt Mafuli amewaabia wananchi wa Kigoma kwenye mkutano wa kampeni leo jioni kwenye uwanja wa kawawa kuwa Serikali yake kwa sehemu kubwa itakuwa upande wa wananchi wanyonge ili hatimaye wawe na maisha yenye neema,amesema kuwa Serikali yake...

 

11 years ago

Michuzi

GODFREY MGIMWA APOKELEWA KAMA MFALME KIJIJINI KWAO MAGUNGA

 Mgombea ubunge Jimbo la Kalenga, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Godfrey Mgimwa (kulia) akiwa  na bibi yake, Consolata Semgovano wakipungia mikono wananchi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika Kijiji alichozaliwa cha Magunga, Iringa Vijijini leo.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

9 years ago

Habarileo

Rais mpya apokelewa kwa mbwembwe Ikulu

RAIS Dk John Magufuli jana baada ya kuapishwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam alipokewa kwa shangwe na vifijo na wafanyakazi wa Ikulu eneo la Magogoni majira ya saa 7.30 mchana.

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray: Napata Wasiwasi Kama Tunaweza Kumpata Rais Kama Kikwete

Napata kigugumizi na mgagasuko mkubwa sana ndani ya kilindi cha moyo wangu, kama tutaweza kumpata Rais atakaye tuthamini kama wewe baba yetu, Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Wewe ni kiongozi wa mfano wa kuigwa na hao watakaokupokea kijiti chako, nimeilewa sana hotuba yako siku ya leo (jana) hasa pale uliposema Bongo Fleva na Bongo Movie wameitangaza sana nchi yako ya Tanzania kimataifa na kusahau hata yale machungu unayoyapataga kwenye soka tutakukumbuka sana rais wetu

Vicent Kigosi “Ray”...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Nyusi wa Msumbiji apokelewa nchini kwa nderemo na vifijo

 Msanii wa kikundi cha ngoma ya Mganda akitumbuiza  wakati wa mapokezi ya Rais wa Msumbiji Mhe Filipe Nyusi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere.  Ngoma ya mganda   Sindimba   Kinamama wa kikundi cha Mount Usambara hawako nyuma  Rais Kikwete akisogea sehemu ya kumpokea mgeni  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe akisalimiana na balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Mhe  Shamim Nyanduga. Katikati ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Congo kuandaa kura kuhusu muhula wa rais

Rais Denis Sassou Nguesso amesema nchi yake itaandaa kura ya maamuzi kuamua iwapo ataruhusiwa kuwania urais kwa muhula wa tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Congo DR yaitia adabu Congo Brazaville

DR Congo ilitoka nyuma na kuishinda Congo kwa mabao 4-2 na kufika katika semi fainali ya mechi za kombe la Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani