Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Congo kuandaa kura kuhusu muhula wa rais

Rais Denis Sassou Nguesso amesema nchi yake itaandaa kura ya maamuzi kuamua iwapo ataruhusiwa kuwania urais kwa muhula wa tatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kura ya maamuzi kuhusu katiba yaandaliwa Congo

Congo-Brazzaville inaandaa kura ya maamuzi leo kuhusu marekebisho ya katiba ambayo yatakayomuwezesha Rais Sassou Nguesso kuwania kwa muhula wa tatu.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni

Mwenyekiti wa Chadema, Mh Freeman Thursday, October 15, 2015 Mwenyekiti wa Chadema, mh Freeman Mbowe amemtaka Rais Kikwete kutovuruga amani ya nchi na badala yake amemtaka aondoke madarakani na kuiacha nchi ikiwa salama. Mbowe alitoa kauli […]

The post Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Zuma kuapishwa kwa muhula wa 2

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ataapishwa hii leo kwa muhula wake wa pili baada ya kushinda uchaguzi mkuu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Zuma aapishwa kwa muhula wa pili

Viongozi wa nchi kama 20 wahudhuria sherehe ya Rais Jacob Zuma kuapishwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais aomba kupunguza muhula wake Senegal

Rais wa Senegal Macky Sall amependekeza kura ya maamuzi kuhusu kupunguzwa kwa muhula wake kwa miaka miwili

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais Magufuli kuwania muhula wa pili wa uongozi, yapi mafanikio, changamoto?

Rais wa Tanzania, John Magufuli amechukua fomu ya kugombea muhula wa pili wa nafasi ya urais wanchi hiyo kupitia chama chake , Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

5 years ago

Michuzi

BMT kuandaa muongozo kuhusu ukomo wa wachezaji wa Nje nchini.




Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw.Yusuph Singo akifafanua kuhusu usajili wa wanamichezo wa kigeni hapa nchini leo Aprili 29,2020 Jijini Dodoma.

***********************************

Na Shamimu Nyaki, WHUSM-Dodoma

Serikali haijatoa ukomo wa wachezaji kutoka nje kushiriki
michezo hapa nchini bali imeibua mjadala kwa wadau ili
watoe maoni yao.

Hayo yamesemwa leo Jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw.Yusuph...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiga kura Kariakoo kuhusu upigaji kura

Wapiga kura Tanzania walifika vituoni mapema kupiga kura kuwachagua viongozi wapya. Wanamchagua rais mpya, wabunge na madiwani. Mwandishi wa BBC Bashkas Jugsodaay alizungumza na baadhi yao

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NA KURA YA MAONI


Kama inavyofahamika, chini ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1997 na Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura ya 343 ya mwaka 2010, jukumu la Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni kusimamia na kuendesha Uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wabunge na Madiwani kwa Tanzania Bara. Aidha, Sheria ya Kura ya Maoni imezipa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Tume ya Uchaguzi Zanzibar jukumu la kuendesha Kura ya Maoni kwa ajili ya kuhalalisha Katiba Inayopendekezwa. Kwa mujibu wa Katiba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani