Congo kuandaa kura kuhusu muhula wa rais
Rais Denis Sassou Nguesso amesema nchi yake itaandaa kura ya maamuzi kuamua iwapo ataruhusiwa kuwania urais kwa muhula wa tatu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Kura ya maamuzi kuhusu katiba yaandaliwa Congo
10 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Oct
Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni
Mwenyekiti wa Chadema, Mh Freeman Thursday, October 15, 2015 Mwenyekiti wa Chadema, mh Freeman Mbowe amemtaka Rais Kikwete kutovuruga amani ya nchi na badala yake amemtaka aondoke madarakani na kuiacha nchi ikiwa salama. Mbowe alitoa kauli […]
The post Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
BBCSwahili24 May
Rais Zuma kuapishwa kwa muhula wa 2
11 years ago
BBCSwahili24 May
Rais Zuma aapishwa kwa muhula wa pili
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Rais aomba kupunguza muhula wake Senegal
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Rais Magufuli kuwania muhula wa pili wa uongozi, yapi mafanikio, changamoto?
5 years ago
MichuziBMT kuandaa muongozo kuhusu ukomo wa wachezaji wa Nje nchini.
Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw.Yusuph Singo akifafanua kuhusu usajili wa wanamichezo wa kigeni hapa nchini leo Aprili 29,2020 Jijini Dodoma.
***********************************
Na Shamimu Nyaki, WHUSM-Dodoma
Serikali haijatoa ukomo wa wachezaji kutoka nje kushiriki
michezo hapa nchini bali imeibua mjadala kwa wadau ili
watoe maoni yao.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw.Yusuph...
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Wapiga kura Kariakoo kuhusu upigaji kura
10 years ago
Michuzi.jpg)
TAARIFA KWA UMMA YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NA KURA YA MAONI
.jpg)