Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais aomba kupunguza muhula wake Senegal

Rais wa Senegal Macky Sall amependekeza kura ya maamuzi kuhusu kupunguzwa kwa muhula wake kwa miaka miwili

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MWANAHARAKATI WA BURUNDI AOMBA MKUTANO WA KESHO WA MARAISI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI KUTOMRUHUSU RAIS NKURUNZIZA KUTOGOMBEA MUHULA WA TATU

 Mwenyekiti wa Chama cha UPD-Zigamimbaga, ambaye pia ni mwanaharakati wa vuguvugu la maandamano nchini Burundi, Mugwengezo Chauvineau. 
 Mwenyekiti wa Chama cha UPD-Zigamimbaga, ambaye pia ni mwanaharakati wa vuguvugu la maandamano nchini Burundi, Mugwengezo Chauvineau (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mvutano wa kisiasa dhidi ya rais wa nchi hiyo ambapo amewataka viongozi wa nchi za Afrika Mashariki wanaokutana leo jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Zuma kuapishwa kwa muhula wa 2

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ataapishwa hii leo kwa muhula wake wa pili baada ya kushinda uchaguzi mkuu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Zuma aapishwa kwa muhula wa pili

Viongozi wa nchi kama 20 wahudhuria sherehe ya Rais Jacob Zuma kuapishwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Congo kuandaa kura kuhusu muhula wa rais

Rais Denis Sassou Nguesso amesema nchi yake itaandaa kura ya maamuzi kuamua iwapo ataruhusiwa kuwania urais kwa muhula wa tatu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais Magufuli kuwania muhula wa pili wa uongozi, yapi mafanikio, changamoto?

Rais wa Tanzania, John Magufuli amechukua fomu ya kugombea muhula wa pili wa nafasi ya urais wanchi hiyo kupitia chama chake , Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Linex aomba radhi mashabiki wake

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Sunday Mangu amewataka radhi mashabiki wake kwa kushindwa kufanya uzinduzi wa video yake ya ‘Wema Kwa Ubaya’ ambayo alipanga kuizindua Agosti 31, katika ukumbi...

 

10 years ago

Habarileo

Baba aomba msaada mtoto wake atibiwe

PAULO Msangawale anayesoma Shule ya Msingi Katusa, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ameshindwa kuendelea na masomo baada ya kupata ulemavu wa kudumu na sasa anaomba msaada wa matibabu zaidi.

 

11 years ago

Habarileo

Unguja wafanikiwa kupunguza kasi ya kutelekeza wake

MKUU wa Wilaya ya Kaskazini B Unguja, Khamis Jabir amesema wamepiga hatua kubwa ya kutoa elimu kwa makundi mbalimbali ya wanaume juu ya kuepuka matukio ya udhalilishaji wa kijinsia kwa wanaume ikiwemo kutelekeza wake na watoto.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa zamani Chad,ashtakiwa Senegal

Rais wa zamani wa Chad Hissene Habre, atafikishwa mahakamani Senegal, kwa makosa ya ukatili na uhalifu wa kivita .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani