BMT kuandaa muongozo kuhusu ukomo wa wachezaji wa Nje nchini.
Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw.Yusuph Singo akifafanua kuhusu usajili wa wanamichezo wa kigeni hapa nchini leo Aprili 29,2020 Jijini Dodoma.
***********************************
Na Shamimu Nyaki, WHUSM-Dodoma
Serikali haijatoa ukomo wa wachezaji kutoka nje kushiriki
michezo hapa nchini bali imeibua mjadala kwa wadau ili
watoe maoni yao.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw.Yusuph...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
SERIKALI YAPITIA RASIMU YA MUONGOZO WA KUANDAA MPANGO WA RASILIMALI WATU KATIKA UTUMISHI WA UMMA


Mkurugenzi Msaidizi wa Mipango ya Rasilimaliwatu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala...
5 years ago
CCM Blog
BARAZA LA USALAMA LAIDHINISHA MUONGOZO KUHUSU AMANI LIBYA

Azimio lililoidhinishwa na baraza la Usalama pia limetoa wito wa kuwapo na usitishaji wa kudumu wa mapigano nchini Libya, ambako makubaliano tete ya kusitisha mapigano yamekuwapo tangu Januari mwaka huu.
Azimio hilo lililotayarishwa na Uingereza ,...
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Muongozo wa uchaguzi nchini Uingereza
11 years ago
MichuziKenny Mwaisabula kuandaa tamasha la mpira wa miguu la wachezaji wa zamani
11 years ago
Michuzi.bmp)
TAARIFA YA WIZARA YA MAMBO YA NJE KUHUSU WAFUNGWA WA KITANZANIA NCHINI CHINA
.bmp)
5 years ago
Bongo514 Feb
Taarifa kuhusu misheni ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa SADC Troika nchini DRC
Mheshimiwa Dkt. Augustine P. Mahiga (Mb), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki pamoja na Mwenyekiti wa SADC wa Kamati ya Mawaziri ya Asasi ya Ushirikiano wa Siasa, Ulinzi na Usalama (SADC Ministerial Committee of the Organ on Politics, Defense and Security Cooperation – MCO) amewasili Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa ajili ya kuongoza Ujumbe wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa SADC Troika (Tanzania, Angola na Msumbiji) kwa dhumuni la kufanya Misheni ya Pili ya...
11 years ago
Mwananchi04 Sep
Wajumbe wavutana kuhusu wabunge kuwajibishwa, kuwa na ukomo katika #Katiba Mpya
10 years ago
BBCSwahili23 Sep
Congo kuandaa kura kuhusu muhula wa rais
5 years ago
Michuzi
HIVI NDIVYO DKT. MPANGO ALIVYOWASILISHA MAPENDEKEZO KUHUSU MPANGO WA KIWANGO CHA UKOMO WA BAJETI YA SERIKALI 2020/2021
