Muongozo wa uchaguzi nchini Uingereza
Taifa lote la Uingereza limegawanywa katika majimbo 650 ambapo kila jimbo humchagua mbunge wake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 May
5 years ago
MichuziBMT kuandaa muongozo kuhusu ukomo wa wachezaji wa Nje nchini.
Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw.Yusuph Singo akifafanua kuhusu usajili wa wanamichezo wa kigeni hapa nchini leo Aprili 29,2020 Jijini Dodoma.
***********************************
Na Shamimu Nyaki, WHUSM-Dodoma
Serikali haijatoa ukomo wa wachezaji kutoka nje kushiriki
michezo hapa nchini bali imeibua mjadala kwa wadau ili
watoe maoni yao.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw.Yusuph...
11 years ago
Michuzi23 Apr
10 years ago
BBCSwahili30 Mar
Kampeini za uchaguzi zaanza Uingereza
10 years ago
BBCSwahili08 May
Wakenya wafwatilia uchaguzi Uingereza
10 years ago
MichuziWaangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuingia nchini kufuatilia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25
10 years ago
GPL
UINGEREZA KUFANYA UCHAGUZI MKUU KESHO
9 years ago
Mtanzania26 Nov
Uchaguzi Z’bar wajadiliwa Bunge la Uingereza
. Mbunge ahoji hatua zinazochukuliwa, Waziri aeleza msimamo wa Serikali yao
Na Mwandishi Wetu
HALI ya kisiasa na kufutwa kwa uchaguzi wa urais pamoja na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar hatimaye imetua na kujadiliwa katika Bunge la mabwanyenye la nchini Uingereza.
Uamuzi huo umekuja siku moja baada ya wapinzani wawili wa kisiasa visiwani humo, Rais Dk. Ali Mohamed Shein na Makamu wake wa Kwanza ambaye pia alikuwa mgombea wa urais kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, kuendelea na...
10 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi Mkuu Uingereza kufanyika kesho