Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muongozo wa uchaguzi nchini Uingereza

Taifa lote la Uingereza limegawanywa katika majimbo 650 ambapo kila jimbo humchagua mbunge wake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi mkuu nchini Uingereza

Uchaguzi nchini Uingereza

 

5 years ago

Michuzi

BMT kuandaa muongozo kuhusu ukomo wa wachezaji wa Nje nchini.




Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw.Yusuph Singo akifafanua kuhusu usajili wa wanamichezo wa kigeni hapa nchini leo Aprili 29,2020 Jijini Dodoma.

***********************************

Na Shamimu Nyaki, WHUSM-Dodoma

Serikali haijatoa ukomo wa wachezaji kutoka nje kushiriki
michezo hapa nchini bali imeibua mjadala kwa wadau ili
watoe maoni yao.

Hayo yamesemwa leo Jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw.Yusuph...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kampeini za uchaguzi zaanza Uingereza

Kampeni za uchaguzi mkuu nchini Uingereza zimeanza rasmi kinyanganyiro kikitarajiwa kuchacha baina ya David Cameron na Ed Miliband

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakenya wafwatilia uchaguzi Uingereza

Uchaguzi wa Uingereza umekuwa ukifuatilia kwa makini nchini Kenya ambapo hafla maalum imeandaliwa na ubalozi wa nchi hiyo

 

10 years ago

Michuzi

Waangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuingia nchini kufuatilia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25

Katibu Mkuu  wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula, na Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania, Mhe. Filiberto Sebregondi, wakibadilishana Hati ya Makubaliano ya kuruhusu waangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuingia nchini kufuatilia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu.Hati hiyo ya makubaliano imesainiwa leo, 28-08-2015, katika ukumbi wa mikutano wa Wizara hiyo. Balozi wa Umoja wa Ulaya Mhe. Filiberto Sebregondi, akisaini Hati ya...

 

10 years ago

GPL

UINGEREZA KUFANYA UCHAGUZI MKUU KESHO

Baadhi ya viongozi wanaowania nafasi ya Uwaziri Mkuu Uingereza. VIONGOZI wa vyama na wagombea huko Uingereza wanafanya kampeni zao za mwisho kuwashawishi wapiga kura wawapigie kura kabla ya uchaguzi mkuu utakaofanyika hapo kesho (Mei 7, 2015). Waziri Mkuu, David Cameron ameahidi kuifanya Uingereza kuwa katika njia ya mafanikio, wakati ambapo kiongozi wa Chama cha Labour Ed Miliband akiahidi kuwa na serikali itakayowajali kwanza...

 

9 years ago

Mtanzania

Uchaguzi Z’bar wajadiliwa Bunge la Uingereza

mtanzaniadaily2 .indd. Mbunge ahoji hatua zinazochukuliwa, Waziri aeleza msimamo wa Serikali yao

 

Na Mwandishi Wetu

HALI ya kisiasa na kufutwa kwa uchaguzi wa urais pamoja na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar hatimaye imetua na kujadiliwa katika Bunge la mabwanyenye la nchini Uingereza.

Uamuzi huo umekuja siku moja baada ya wapinzani wawili wa kisiasa visiwani humo, Rais Dk. Ali Mohamed Shein na Makamu wake wa Kwanza ambaye pia alikuwa mgombea wa urais kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, kuendelea na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Mkuu Uingereza kufanyika kesho

Uchaguzi mkuu nchini Uingereza kufanyika kesho, huku viongozi wa vyama na wagombea wakikamisha kampeni zao Jumatano

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani