Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bajeti inakwamisha mawasiliano kusambaa

SERIKALI imesema utekelezaji wa mpango wa kufikisha huduma za mawasiliano nchi nzima unakwamishwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ufinyu wa bajeti katika kukidhi gharama za mpango huo. Katika kukabiliana na changamoto...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Rushwa inakwamisha uwekezaji’

Rushwa, ubabaishaji na urasimu ni matatizo yanayotakiwa kutafutiwa ufumbuzi wa haraka, ili kuondoa vikwazo na kurahisisha uwekezaji nchini. 

 

11 years ago

Mwananchi

TFF inakwamisha soka la kulipwa nchini

Kwa muda mrefu sasa wapenzi, mashabiki na wadau wa soka wamekuwa wakisema umefika wakati wa kuondoka katika soka la ridhaa na kuingia soka la kulipwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mivutano inakwamisha maendeleo Ihela — Kapunga

MEYA wa Jiji la Mbeya, Athanas Kapunga, amesema maendeleo katika Kata ya Ihela yanaziidi kuzorota kila kukicha kutokana na wananchi kuendeleza mivutano ya kisiasa isiyo na tija. Akihutubia wananchi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Teknolojia dhaifu inakwamisha uzalishaji wa embe

Tanzania inatajwa kuwa na nafasi kubwa ya kusafirisha bidhaa za maembe nje ya nchi kwa asilimia 80, lakini habari mbaya ni kwamba inashindwa kufanya hivyo kutokana na kutokuwa na teknolojia ya kisasa ya kuhifadhi na kushindwa kulima kilimo chenye tija.

 

10 years ago

GPL

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YASAINI MIKATABA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (Universal Communications Service Access Fund – UCSAF) Eng Peter Ulanga (Katikati) akiwa na Waziri wa Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa, Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka Ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  Prof. John Nkoma, CEO wa TTCL Dr. Kamugisha Kazaura wakiweka sahihi mikataba ya mabilioni kupelekea… ...

 

9 years ago

Michuzi

Mapokezi ya Katibu Mkuu Mpya Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya Mawasiliano Prof. Faustine Kamuzora

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano upande wa sekta ya Mawasiliano Prof Faustine Kamuzora wa pili kulia akipokea nyaraka wakati wa makabidhiano ya ofisi kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa iliyokuwa Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Dkt Yamungu Kayandabila wa kwanza kutoka kulia.

 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya Mawasiliano Mary Sassabo kulia wakati akimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof Faustine Kamuzora (...

 

11 years ago

Michuzi

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia ashuhudia makampuni ya simu yakiweka saini mkataba wa makabaliano ya usambazaji huduma za mawasiliano vijijini

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa (kushoto) akimsikiliza kwa makini Ofisa Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Georgia Mutagahywa (kulia) muda mfupi kabla ya kuanza kwa hafla ya utiaji saini mikataba ya usambazaji huduma za mawasiliano ya simu za mkononi maeneo ya vijijini kati ya makampuni ya simu na Mfuko wa Wamasiliano kwa Wote - (UCSAF) jijini Dar es salaam. Katikati ni Mkurugenzi wa Mawasilano wa Airtel Beatrice Bandawe. Mkuu wa Idara...

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda

>Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum imewagawa wabunge ambao baadhi wameipongeza, huku wengine wakiiponda.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014

>Baadhi ya wakazi wa mikoa mbalimbali nchini, wamedai kuwa bajeti ya mwaka 2014/2015 iliyosomwa bungeni juzi mjini Dodoma na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, haiwezi kumkomboa mwananchi kutoka katika umaskini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani