Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi ashauri mitaala kubeba hatma ya nchi

BALOZI wa Tanzania nchini China, Abdulrahman ShimboBALOZI wa Tanzania nchini China, Abdulrahman Shimbo ameshauri mitaala ya elimu iingize masuala yanayowaunganisha Watanzania ili kuvisaidia vizazi vya sasa na vijavyo kuilinda nchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

DC ashauri matrekta madogo yasiwe ya kubeba mizigo

WAKULIMA wilayani Bariadi mkoani Simiyu wameonywa kuacha kubadilisha matumizi sahihi ya matrekta madogo ya kilimo (Power Tillers), kwa kubebea mizigo kwenye minada pamoja na kwenye magulio sanjari na kubebea abiria.

 

11 years ago

Habarileo

Balozi aelezwa nia ya kuanzisha mitaala ya ufugaji nyuki

CHUO cha Kilimo Mubondo wilaya ya Kasulu, Kigoma kinatarajia kuanzisha mitaala ya masomo ya ufugaji nyuki kwa wanafunzi wa chuo hicho.

 

10 years ago

Habarileo

Balozi Seif asisitiza mitaala bora ya ustadi wa kazi

Balozi Seif Ali IddiMAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd amesema nchi itaweza kukabiliana na changamoto ya ajira kwa kuhakikisha vyuo vyote nchini vinakuwa na mitaala inayoelekeza kufundisha umahiri na ustadi wa kazi.

 

11 years ago

Mwananchi

Balozi Uingereza ashauri Katiba ya wananchi

Balozi wa Uingereza nchini, Dianna Melrose amesema nchi yake inafuatilia kwa karibu mchakato wa Katiba Mpya ikiamini kwamba Serikali itahakikisha inasimamia upatikanaji wa Katiba hiyo kwa masilahi ya wananchi walio wengi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Balozi Seif ashauri kamati za misikiti nchini

967

Balozi Seif akizungumza na waumini wa Dini ya Kiislamu wa Kijiji cha Kiboje Mamboleo mara baada kuufungua msikiti wao wa Ijumaa uliofanyiwa matengenezo makubwa.(Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ).

Mwandishi Wetu Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amezikumbusha Kamati za Misikiti hapa  nchini kuendelea kuwa imara kwa kutowaruhusu watu wanaopenda kujipenyeza ndani ya kamati hizo kwa nia ya kuanza kutoa madarasa ya uchochezi na kuwagawa waumini kimadhehebu. Alisema...

 

10 years ago

Habarileo

'Wabunge ifikirieni nchi yenu na hatma yake'

MJADALA wa wazi wa Bunge Maalumu la Katiba kuhusu Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, umehitimishwa jana kwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge, Samia Suluhu, kuruhusu wajumbe wazee watoe neno la maridhiano.

 

10 years ago

Habarileo

Balozi ashauri sekta binafsi Malawi, Tanzania kukutana

Mwenyekiti wa PSPF, Reginald Mengi.BALOZI wa Malawi nchini, Hawa Ndilowe ameiomba Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (PSPF) kukutana na wenzao wa Malawi ili waweze kujenga uhusiano ambao utasaidia wafanyabiashara wa nchi hizo mbili kufanya biashara pamoja.

 

9 years ago

Mwananchi

MODESTA MBUGHUNI : Hatma ya maendeleo ya nchi yetu ipo mikononi mwetu wanawake

Katika kuperuzi kwangu mitandao nikitaka kujua hiki na kile, nilijikuta nikiwa nimekodoa macho kwenye mtandao wa Proffessional Approach Group

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Mushy akutana na Wawakilishi wa Nchi za G4 nchini Tanzania

Balozi Celestine Mushy, Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiongea jambo wakati alipokutana na wawakilishi wa nchi za G4 hapa nchini ambazo ni India, Brazil, Ujerumani na Japan. Mwingine katika picha ni Bibi Ramla Khamis, Afisa katika Wizara ya Mambo ya Nje. Balozi Mushy na wawakilishi hao walijadili masuala ya mabadiliko katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambapo alisisitiza msimamo wa bara la Afrika wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani