Balozi Uingereza ashauri Katiba ya wananchi
Balozi wa Uingereza nchini, Dianna Melrose amesema nchi yake inafuatilia kwa karibu mchakato wa Katiba Mpya ikiamini kwamba Serikali itahakikisha inasimamia upatikanaji wa Katiba hiyo kwa masilahi ya wananchi walio wengi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Askofu Munga ashauri Serikali kupitisha Katiba wanayotaka wananchi
11 years ago
Dewji Blog28 Jun
Balozi Seif ashauri kamati za misikiti nchini
Balozi Seif akizungumza na waumini wa Dini ya Kiislamu wa Kijiji cha Kiboje Mamboleo mara baada kuufungua msikiti wao wa Ijumaa uliofanyiwa matengenezo makubwa.(Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ).
Mwandishi Wetu Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amezikumbusha Kamati za Misikiti hapa nchini kuendelea kuwa imara kwa kutowaruhusu watu wanaopenda kujipenyeza ndani ya kamati hizo kwa nia ya kuanza kutoa madarasa ya uchochezi na kuwagawa waumini kimadhehebu. Alisema...
10 years ago
Habarileo14 Jan
Balozi ashauri mitaala kubeba hatma ya nchi
BALOZI wa Tanzania nchini China, Abdulrahman Shimbo ameshauri mitaala ya elimu iingize masuala yanayowaunganisha Watanzania ili kuvisaidia vizazi vya sasa na vijavyo kuilinda nchi.
10 years ago
Habarileo17 Apr
Balozi ashauri sekta binafsi Malawi, Tanzania kukutana
BALOZI wa Malawi nchini, Hawa Ndilowe ameiomba Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (PSPF) kukutana na wenzao wa Malawi ili waweze kujenga uhusiano ambao utasaidia wafanyabiashara wa nchi hizo mbili kufanya biashara pamoja.
11 years ago
Habarileo14 Feb
Ashauri kuundwa chombo kusimamia Katiba
MJUMBE wa Kamati ya Afrika ya Wataalamu wa Haki na Ustawi wa Mtoto Dk Clement Mashamba ameshauri kuundwa kwa chombo maalum cha kusimamia utekelezaji wa Katiba.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue atembelea balozi wa Tanzania Uingereza jijini London
![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kmKG1pZqxxQ/VaRA7bIsdXI/AAAAAAAHpg4/SdCEn9K7g3U/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
11 years ago
Habarileo05 Feb
Ashauri wajumbe Bunge la Katiba kupigania vijana
WAJUMBE watakaopata nafasi ya kuingia katika Bunge la Katiba, wameshauriwa kuhakikisha wanapigania masuala ya vijana . Mwenyekiti wa Taasisi ya Vijana nchini (TYVA), Elly Ahimidiwe alidai katika rasimu ya Katiba mpya, kijana hajafafanuliwa kwa mapana zaidi, hali inayoonesha kundi hilo limetengwa.
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Kikunge awafunda wajumbe #Bunge la #Katiba, ashauri ubinafsi uwekwe kando [VIDEO]
10 years ago
Vijimambo16 Jul
CHAMA CHA WANANCHI CUF CHASISITIZA KUWA KATIKA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI ( UKAWA )
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/146.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/244.jpg)