Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi Kilumanga asaini kitabu cha Maombolezi ya Charlie Hebdo

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro,Mhe. Chabaka Kilumanga ameshiriki katika shughuli ya kuwakumbuka wahanga wa mashambulizi ya kigaidi yaliyofanywa katika Ofisi za Charlie Hebdo, jijini Paris, Ufaransa. Shughuli hiyo, iliyoandaliwa na Balozi wa Ufaransa nchini Comoro na kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Comoro, Mabalozi na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa pamoja na watu mashuhuri, iliambatana na kusaini kitabu cha maombolezi.Mhe. Balozi Chabaka...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA WAZIRI MKUU WA ZAMANI WA IRELAND

Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Waziri Mkuu wa zamani wa Ireland Mhe. Albert Reynolds. Kitabu hicho kimefunguliwa leo katika Ubalozi wa Ireland Ubelgiji.

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA

Balozi wa Tanzania BELUX na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akisaini Kitabu cha Maombolezo ya waliofariki katika ajali ya ndege ya Malaysia. Kitabu hicho kimefunguliwa leo hii katika Ubalozi wa Malaysia Brussels.

 

11 years ago

GPL

BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI, MHE. OMAR MJENGA, ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KATIKA UBALOZI MDOGO WA MALAYSIA.

Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe. Omar Mjenga, akitia saini katika kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi Mdogo wa Malaysia, kufuatia kutunguliwa kwa ndege ya shirika la Malaysia MH17 na abiria wote 298 kupoteza maisha. Mhe. Mjenga na mwenyeji wake, Mhe. Dato Ahmad Fadil Shamsuddin, Balozi Mdogo wa Malaysia wakiwa kwenye mazungumzo pamoja na Balozi Mdogo wa Afrika Kusini, Mhe. Manabile Shogole… ...

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI KILUMANGA ATEMBELEA KISIWA CHA ANJOUAN

Mhe. Chabaka Kilumanga, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro amefanya ziara katika Kisiwa cha Anjouan. Akiwa Anjouan Mhe. Balozi Kilumanga alipata fursa ya kukutana na kufanya mazungumzo na Gavana wa Kisiwa hicho Mhe. Aniss Chamsudine kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Kisiwa cha Anjouan na baadhi ya Mikoa ya Tanzania, hususan katika nyanja za elimu na uwekezaji.  Baadaye, Mhe. Balozi alitembelea maeneo mbalimbali ya kisiwa hicho na kujionea vivutio vya...

 

10 years ago

BBC

Charlie Hebdo banned in Senegal

Senegal bans the distribution of French satirical magazine Charlie Hebdo which contains a controversial cartoon of Prophet Muhammad.

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa Charlie Hebdo wazingirwa

Milio ya risasi imesikika na kuna ripoti huku maafisa wa polisi wa Ufaransa wakiwazingira washukiwa wa Charlie Hebdo

 

10 years ago

TheCitizen

Lesson for Africa from ‘Charlie Hebdo’

The first issue of the French satirical magazine Charlie Hebdo to be published since a jihadist attack at its Paris office in which 12 people, including nine of its journalists, were killed sold out within minutes across France on Wednesday, various media reported.

 

10 years ago

BBC

Fresh Charlie Hebdo protest in Niger

Police in the capital of Niger fire tear gas during a protest against the French magazine Charlie Hebdo's Prophet Muhammad cartoon.

 

9 years ago

TheCitizen

Charlie Hebdo marks year since attack

French satirical weekly Charlie Hebdo will mark a year since the jihadist attack on its offices with a cover featuring a bloodied, gun-toting, bearded God figure, under the headline: “One year on: The assassin still at large”.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani