BALOZI KILUMANGA ATEMBELEA KISIWA CHA ANJOUAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-EOpwQkz6SQY/Uxc39uZTnGI/AAAAAAAFRQ4/xQCAZjELU5s/s72-c/unnamed+(40).jpg)
Mhe. Chabaka Kilumanga, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro amefanya ziara katika Kisiwa cha Anjouan. Akiwa Anjouan Mhe. Balozi Kilumanga alipata fursa ya kukutana na kufanya mazungumzo na Gavana wa Kisiwa hicho Mhe. Aniss Chamsudine kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Kisiwa cha Anjouan na baadhi ya Mikoa ya Tanzania, hususan katika nyanja za elimu na uwekezaji. Baadaye, Mhe. Balozi alitembelea maeneo mbalimbali ya kisiwa hicho na kujionea vivutio vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OtjnUny52Vs/U6XOMnGMc4I/AAAAAAAFsLU/XM3MJDhSk5g/s72-c/748.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi atembelea Kisiwa cha panza, Mkoa wa Kusini Pemba.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9YVV--JiCCg/VLTvwyBEfvI/AAAAAAAG9Bs/0nE9AtBpn38/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Balozi Kilumanga asaini kitabu cha Maombolezi ya Charlie Hebdo
![](http://1.bp.blogspot.com/-9YVV--JiCCg/VLTvwyBEfvI/AAAAAAAG9Bs/0nE9AtBpn38/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
11 years ago
GPLKATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE ATEMBELEA KITUO CHA TAIFA CHA UTUNZAJI KUMBUKUMBU (NRC) DODOMA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yVijUyE_LRk/U7hJKhnTaXI/AAAAAAAFvMk/QWGFr-hxwMk/s72-c/unnamed+(38).jpg)
Balozi seif ali Iddi atembelea Kijiji cha Kilombero
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RGmKJuvW03Q/U346X4bWrQI/AAAAAAAFkj8/D64GozB_zAE/s72-c/unnamed+(29).jpg)
BALOZI KAMALA ATEMBELEA KIWANDA CHA KAMPUNI YA ABC UBELGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-RGmKJuvW03Q/U346X4bWrQI/AAAAAAAFkj8/D64GozB_zAE/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xs_vq68dQOM/U_DJB_XuRLI/AAAAAAAGAR4/eLzh_ggcS3k/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Balozi seif atembelea Kijiji cha Mvuleni Kidoti Wilaya ya Kaskazini “A “ Zanzibar
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UgMzM3FKlUw/VZVxEoPkJII/AAAAAAABz3c/3STdcvAdgBM/s72-c/918.jpg)
BALOZI SEIF ATEMBELEA KIJIJI CHA FUKUCHANI KUANGALIA MAAFA YALIYOWAKUMBA WANANCHI BAADA YA NYUMBA ZAO KUEZULIWA NA UPEPO MKALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-UgMzM3FKlUw/VZVxEoPkJII/AAAAAAABz3c/3STdcvAdgBM/s640/918.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KdABzFif3sI/VZVxJeOQxOI/AAAAAAABz4I/paElKTZBeW4/s640/941.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue atembelea balozi wa Tanzania Uingereza jijini London
![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kmKG1pZqxxQ/VaRA7bIsdXI/AAAAAAAHpg4/SdCEn9K7g3U/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iTv8zHc-VJM/Vmm2GVZIs9I/AAAAAAAILhE/S1CmULdn0zk/s72-c/us1.png)
MHE.BALOZI WILSON M. MASILINGI ATEMBELEA KITENGO CHA VISA KATIKA OFISI ZA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON D.C, SIKU YA KUMBUKUMBU YA UHURU, TAREHE 9 DISEMBA, 2015