Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi Mahalu huru tena

HATIMAYE Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemfutia rufaa ya jinai iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa  Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu na Grace Martin baada ya mkata rufaa,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Aachiwa huru, akamatwa tena

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imemuachia huru, Samwel Meshack baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuleta mashahidi kuthibitisha tuhuma za wizi zilizokuwa zikimkabili.

 

9 years ago

Mwananchi

Mdee na wenzake huru, polisi wawakamata tena

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imefuta kesi ya kufanya mkusanyiko usio halali kwa lengo la kwenda Ikulu iliyokuwa inamkabili mbunge mteule wa Jimbo la Kawe (Chadema), Halima Mdee (35) na wenzake wanane, kwa kuwaachia huru kisha polisi kuwatia mbaroni tena.

 

10 years ago

Habarileo

Balozi Iddi: Uchaguzi utakuwa huru, haki

Balozi Seif Ali IddiMAKAMU wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi amewahakikishia wananchi kwamba uchaguzi mkuu utafanyika katika mazingira ya amani na utulivu na kuwataka wazazi kuwadhibiti vijana wao kutojiingiza katika vurugu.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI, UMOJA WA ULAYA, ASEMA NCHI IPO SALAMA, UCHAGUZI UTAKUWA HURU NA HAKI

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amefanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani, Umoja wa Ulaya (EU), Angola na Kuwait nchini, na kuwahakikishia kuwa Tanzania ipo salama, na pia katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu utakuwa wa huru na haki.
Akizungumza na mabalozi hao waliofika kwa wakati tofauti ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo, Simbachawene amesema vyombo vyake vinaendelea kufanya kazi kwa weledi katika kuimarisha usalama wa raia na mali...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI NGIRWA ACHAGULIWA TENA KUONGOZA BARAZA LA FAO

Mkutano wa 39 wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) uliofanyika katika Makao Makuu ya Shirikia hilo jijini Roma hapo tarehe 6 -13 Juni, 2015 umemchagua tena Balozi Wilfred Joseph Ngirwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la FAO (Independent Chairperson of the FAO Council - ICC) kwa kipindi cha miaka miwili (2015-2017). 
Katika Mkutano huo ambapo ujumbe wa Tanzania uliongozwa na Naibu Waziri (NW) wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhe. Godfrey Weston Zambi (Mb), Balozi Ngirwa alikuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru

>Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa Ilala, John Lubuva na wenzake wanne waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara, wameibuka kidedea katika kesi hiyo.

 

11 years ago

TheCitizen

Trust my committee, says Mahalu

The committee appointed to review the Constituent Assembly draft standing orders boasts several law heavyweights, and CA members should have faith in it, according to committee chairman Costa Mahalu.

 

11 years ago

TheCitizen

DPP drops Mahalu case

>The Director of Public Prosecutions (DPP) has dropped an appeal against the acquittal of former Tanzanian ambassador to Italy Prof Costa Ricky Mahalu, who faced charges to do with the Sh2.5 billion loss in the alleged bogus sale of Tanzania’s embassy in Rome.

 

11 years ago

TheCitizen

Life comes full circle for Mahalu

Many Tanzanians first knew him after he was charged with abuse of office in a case that eventually ended in his acquittal after dragging on for several years.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani