BALOZI MULAMULA: Mwanadiplomasia aliyekuwa Mshauri wa Rais Kikwete
NA PRIVATUS KARUGENDO LEO katika safu yetu ya Mwana Mama, tunawaletea Balozi Liberata Rutageruka Mulamula. Ni wazi Balozi Liberata, anasikika sana. Hata bila kupata nafasi kwenye safu yetu, ana uwezekano...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi10 years ago
Dewji Blog28 May
Rais Kikwete amwapisha Balozi Liberata Mulamula
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatano, Mei 27, 2015, amemwapisha Katibu Mkuu mpya, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Rutageruka Mulamula.
Aidha, katika sherehe fupi ya uapisho iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam, Rais Kikwete amemwapisha Balozi Hassan Simba Yahya kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo.
Katika sherehe hiyo iliyohudhuriwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed...
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AMTEUA BALOZI MULAMULA KUWA KATIBU MKUU, WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
10 years ago
Michuzitanzia: Issa Ahmed Othman aliyekuwa Mshauri wa Rais Zanzibar katika masuala ya Utalii afariki dunia
Aliyekuwa...
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AWASILI MALAWI KUMWAKILISHA MHE. RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA ALIYEKUWA BALOZI WA MALAWI NCHIN
Balozi wa...
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Aliyekuwa mshauri wa D.Cameron afungwa
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
BALOZI LIBERATA: Mwanadiplomasia anayelitendea haki taifa
LEO katika safu yetu nawaletea Balozi Liberata Rutageruka Mulamula, ambaye anasikika sana. Hata bila kupata nafasi kwenye safu hii, ana uwezekano wa kupata nafasi kwenye magazeti na vyombo vingine vingi...
5 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AMEMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI MAZISHI YA ALIYEKUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MAREHEMU BALOZI AUGUSTINE MAHIGA MKOANI IRIBGA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiweka Shada la Maua kwenye Kaburi la aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Marehemu Balozi Augustine Mahiga wakati wa Mazishi yake yaliyofanyika katika kijiji cha Tosamaganga Mkoani Iringa, Makamu wa Rais alimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John ...
10 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete aomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kusononeshwa sana na taarifa za kifo cha Rais wa Jamhuri ya Zambia, Mheshimiwa Michael Chilufya Sata (pichani) ambacho kimetokea jana, Jumanne, Oktoba 28, 2014 kwenye Hospitali ya King Edward VII, London, Uingereza, ambako alikuwa anatibiwa akiwa na umri wa miaka 77.
Katika salamu ambazo amempelekea Makamu wa Rais wa Zambia, Mheshimiwa Dkt. Guy Scott kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...