Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyekuwa mshauri wa D.Cameron afungwa

Andy Coulson, alikuwa pia mhariri wa gazeti la iliyokuwa 'News of the World' amehukumiwa kwa udukuzi wa mawasilioni ya simu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

BALOZI MULAMULA: Mwanadiplomasia aliyekuwa Mshauri wa Rais Kikwete

NA PRIVATUS KARUGENDO LEO katika safu yetu ya Mwana Mama, tunawaletea Balozi Liberata Rutageruka Mulamula. Ni wazi Balozi Liberata, anasikika sana. Hata bila kupata nafasi kwenye safu yetu, ana uwezekano...

 

10 years ago

Michuzi

tanzia: Issa Ahmed Othman aliyekuwa Mshauri wa Rais Zanzibar katika masuala ya Utalii afariki dunia

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na viongozi wengine wa CCM na wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakiwa nyumbani alipozaliwa marehemu Issa Ahmed Othman Mshauri wa Rais Zanzibar katika masuala ya Utalii,aliyefariki nchini India alipoenda kwa matibabu.Katibu Mkuu alitoa salaam za pole kwa familia ya marehemu na ndugu zake kupokelewa na kaka wa marehemu Othman Ahmed Othman nyumbani kwao Shenge Juu, Pemba.

Na Abdulla Ali - Maelezo, Zanzibar                             
Aliyekuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mshauri wa Dk Shein afariki

Mshauri wa Rais wa Zanzibar, Dk Mohamed Shein katika masuala ya Utalii, Issa Ahmed Othman amefariki dunia akiwa katika matibabu nchini India.

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameron azuru Lebanon

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, anazuru Lebanon ili kujionea mwenyewe namna msaada kutoka Uingereza unavyotumika huko

 

9 years ago

Global Publishers

Ukiolewa, kuwa mshauri wa mumeo!

BLD080939Asalam Alaikum, Bwana Yesu asifiwe, bila shaka wasomaji wangu wa safu hii ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa kwa hilo nashukuru Mungu.

Leo nimekuja na mada mpya ambayo imenisukuma kuwaandikia wanawake wengi ambao wapo kwenye ndoa na hii imekuwa kama fasheni kwa ndoa nyingi jambo linalokera na wala halipendezi kwa ndugu ama jamii.

Wanawake wengi tunashindwa kuwashauri waume zetu jinsi ya kutumia pesa, tunaendekeza starehe na sehemu ambazo si za kutusaidia hapo baadaye.
Wiki...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshauri wa Nkurunziza anusurika shambulio

Mshauri wa Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amenusurika shambulio alipokuwa akitoka nyumbani kwake katika eneo la Kajaga, magharibi mwa mji mkuu Bujumbura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mshauri wa WHO aonya kuhusu Ebola

Mshauru mashuhuri wa WHO ameonya kuwa visa vipya vya ugonjwa wa Ebola vinatarajiwa miongoni mwa maafisa wa afya

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameron asema IS ni tishio kubwa

Waziri mkuu nchini Uingereza David Cameron amesema kuwa wapiganaji wa islamic state ni tishio kubwa mataifa ya magharibi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza: Cameron na Conservatives waongoza

Chama cha Conservatives cha waziri mkuu wa Uingereza David Cameron anaelekea kusajili ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani