Ukiolewa, kuwa mshauri wa mumeo!
Asalam Alaikum, Bwana Yesu asifiwe, bila shaka wasomaji wangu wa safu hii ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa kwa hilo nashukuru Mungu.
Leo nimekuja na mada mpya ambayo imenisukuma kuwaandikia wanawake wengi ambao wapo kwenye ndoa na hii imekuwa kama fasheni kwa ndoa nyingi jambo linalokera na wala halipendezi kwa ndugu ama jamii.
Wanawake wengi tunashindwa kuwashauri waume zetu jinsi ya kutumia pesa, tunaendekeza starehe na sehemu ambazo si za kutusaidia hapo baadaye.
Wiki...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog04 Sep
JK amteua Thadeo Mwenempazi kuwa Mshauri wa Rais Masuala ya Sheria
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Thadeo Marko Mwenempazi kuwa Mshauri wa Rais Masuala ya Sheria.
Uteuzi wa Ndugu Mwenempazi umeanza tokea Jumatatu ya Agosti 24, mwaka huu, 2015.
Taarifa iliyotolewa leo, Ijumaa, Septemba 4, 2015 mjini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue imesema kuwa kabla ya uteuzi wake, Ndugu Mwenempazi alikuwa Wakili...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Sitta: Siasa basi,aamua kuwa mwandishi wa vitabu na mshauri
5 years ago
BBCSwahili19 May
Uchaguzi wa Burundi: Nkurunziza tayari kuwa 'mshauri wa ngazi ya juu'
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFW1nQiVBqeqIfsEMNplVRlo2h0UkL3ilNVRNGTG7OSly8LiZXYYc1cq5sTVKQgUKB0i66-jOdxGORLowkxW0wdf/10.jpg)
SIFA 6 ZA MWANAUME ANAYESTAHILI KUWA MUMEO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3KDwQMeV6Co*qHbNpB0CLklwFEbmFztUHE5ik*xESCxnPnJRQlWTfbFyGpR2fLdnfrsZOHcnGdGfLqhji1fRZ-V/a.jpg)
MNYWAJI WA POMBE ANAFAA KUWA MUMEO?
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Mshauri wa Dk Shein afariki
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mshauri wa WHO aonya kuhusu Ebola
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Mshauri wa Nkurunziza anusurika shambulio
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Aliyekuwa mshauri wa D.Cameron afungwa