SIFA 6 ZA MWANAUME ANAYESTAHILI KUWA MUMEO!
![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFW1nQiVBqeqIfsEMNplVRlo2h0UkL3ilNVRNGTG7OSly8LiZXYYc1cq5sTVKQgUKB0i66-jOdxGORLowkxW0wdf/10.jpg)
Wiki hii nitazungumzia sifa 6 za mwanaume ambaye anastahili kuwa mumeo. Nafanya hivi ikiwa ni msaada kwa wale ambao wamefikia hatua ya kuingia kwenye ndoa lakini bado wanashindwa kutambua yupi ni sahihi na yupi si sahihi kuitwa mume. Tufahamu kwamba si kila mwanaume unayekutana naye na ukampenda anafaa kuwa mumeo. Wengine wana mapungufu makubwa ambayo bila kuyabaini na ukaingia kichwakichwa, utakutana na matatizo makubwa. Kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Oct
Rose Ndauka ataja sifa za mwanaume anayependa kuwa naye
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M32wM1tObmoJLCsViw7g464w2sTHq96JpiwfGCLS3W2yBb8C*J0CYPa-M6Qd2hgq9tTmN-0IN6hvQh1du**6VR3Q/Blogpiccouplecuddling4441652.jpg)
SIFA 5 ZA MWANAUME ANAYEKUTAMANI-2
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wPuvme0wHfZkHO-wwkm3zByEqbkrBbluRX2l4DV9RLKuDa6pYlzqyzzYZuuKFWmSEV6DYpXc7DZ9RGdPzXwEX7552IFvT5iC/happy_couple1.jpg)
SIFA TANO ZA MWANAUME ANAYEKUTAMANI
10 years ago
Bongo516 Feb
Lady Jaydee azitaja sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Ukiolewa, kuwa mshauri wa mumeo!
Asalam Alaikum, Bwana Yesu asifiwe, bila shaka wasomaji wangu wa safu hii ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa kwa hilo nashukuru Mungu.
Leo nimekuja na mada mpya ambayo imenisukuma kuwaandikia wanawake wengi ambao wapo kwenye ndoa na hii imekuwa kama fasheni kwa ndoa nyingi jambo linalokera na wala halipendezi kwa ndugu ama jamii.
Wanawake wengi tunashindwa kuwashauri waume zetu jinsi ya kutumia pesa, tunaendekeza starehe na sehemu ambazo si za kutusaidia hapo baadaye.
Wiki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3KDwQMeV6Co*qHbNpB0CLklwFEbmFztUHE5ik*xESCxnPnJRQlWTfbFyGpR2fLdnfrsZOHcnGdGfLqhji1fRZ-V/a.jpg)
MNYWAJI WA POMBE ANAFAA KUWA MUMEO?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWnLoBwkwRU5DxgT2JGb7SAPSwuZlSmN6L686yq3Q*pmtiZv-H9dQ2jGfkfqWLwytBEvQ*rbvWuJB8eQDXJZ5Rmt/Blogpiccouplecuddling4441652.jpg?width=650)
MWANAUME BORA ANAPASWA KUWA NA VIGEZO GANI?-2
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9XJkEVihrOI/VLed96fNFKI/AAAAAAAAmfw/FpQsgcVWK70/s72-c/Happy-Couple.jpg)
Hakuna Mwanaume Rijali Anayeweza kuwa na Mwanamke Mmoja tu
![](http://2.bp.blogspot.com/-9XJkEVihrOI/VLed96fNFKI/AAAAAAAAmfw/FpQsgcVWK70/s640/Happy-Couple.jpg)
"Mchele mmoja mapishi mbalimbali", utakuta wewe...
10 years ago
Mwananchi31 Jan
‘Machungwa ya Tanga hayana sifa ya kuwa juisi’