Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIFA 6 ZA MWANAUME ANAYESTAHILI KUWA MUMEO!

Wiki hii nitazungumzia sifa 6 za mwanaume ambaye anastahili kuwa mumeo. Nafanya hivi ikiwa ni msaada kwa wale ambao wamefikia hatua ya kuingia kwenye ndoa lakini bado wanashindwa kutambua yupi ni sahihi na yupi si sahihi kuitwa mume. Tufahamu kwamba si kila mwanaume unayekutana naye na ukampenda anafaa kuwa mumeo. Wengine wana mapungufu makubwa ambayo bila kuyabaini na ukaingia kichwakichwa, utakutana na matatizo makubwa. Kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rose Ndauka ataja sifa za mwanaume anayependa kuwa naye

Msanii wa filamu za Bongo, Rose Ndauka amesema kuwa yeye si mwanamke anayependa wanaume wenye uwezo mkubwa kama tuhuma dhidi yake zinavyoeleza. Mwigizaji huyo mrembo amevitaja vigezo vya mwanaume anayeweza kuwa naye hata kama hana uwezo wa kipesa. “Mimi napenda mwanaume anayejielewa, mwenye upendo na mchapakazi, ikitokea ana fedha itakuwa imetokea lakini si mwanamke ninayependa […]

 

9 years ago

GPL

SIFA 5 ZA MWANAUME ANAYEKUTAMANI-2

Ni Jumanne tena. Jumanne yenye hekaheka ya kampeni ya uchaguzi mkuu wa mwezi ujao. Lakini kwa wasomaji wangu naamini mnajua kutenganisha muda wa kunisoma na muda wa kushiriki kampeni ili kusikia sera za vyama vyenu. Mada yangu ya leo inatoka wiki iliyopita ambapo inasema; sifa tano za mwanaume anayekuthamini.
Wiki iliyopita niliishia pale niliposema utakuta mwanaume anakuhesabia wanawake aliyokwishalala nao; Ester tayari,...

 

9 years ago

GPL

SIFA TANO ZA MWANAUME ANAYEKUTAMANI

NI Jumanne tena! Naamini wasomaji wangu wote mpo sawasawa na tayari kupokea mada mpya ya wiki hii. Habari kubwa ya kitaifa kwa sasa ni siasa, kampeni za wagombea na vishawishi vyao. Lakini najua bado hamkosi elimu ya mapenzi na maisha. Leo nataka kuwasaidia baadhi ya wanawake, hasa wasichana ambao wamejikuta wakiwa kwenye uhusiano usiodumu kwa sababu ya kuwapata wanaume wanaowatamani halafu wao kwa kutokujua, wakaamini...

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee azitaja sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa

Baada ya kutangaza kuwa kwa sasa yuko single, miongoni mwa maswali ambayo Lady Jaydee amekutana nayo ni kuhusu sifa za mwanaume ambaye anamtaka awe mpenzi wake kwa sasa. Kupitia Instagram Jide aliorodhesha sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa, soma huenda ukawa nazo (kama wewe ni mwanaume mwenye ndoto za kuwa na staa huyo). Yapo maswali […]

 

9 years ago

Global Publishers

Ukiolewa, kuwa mshauri wa mumeo!

BLD080939Asalam Alaikum, Bwana Yesu asifiwe, bila shaka wasomaji wangu wa safu hii ni wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa kwa hilo nashukuru Mungu.

Leo nimekuja na mada mpya ambayo imenisukuma kuwaandikia wanawake wengi ambao wapo kwenye ndoa na hii imekuwa kama fasheni kwa ndoa nyingi jambo linalokera na wala halipendezi kwa ndugu ama jamii.

Wanawake wengi tunashindwa kuwashauri waume zetu jinsi ya kutumia pesa, tunaendekeza starehe na sehemu ambazo si za kutusaidia hapo baadaye.
Wiki...

 

10 years ago

GPL

MNYWAJI WA POMBE ANAFAA KUWA MUMEO?

NI matumaini yangu wasomaji wa safu hii mko vizuri na mpo tayari kupokea mada mpya ambayo nimewaandalia. Namshukuru Mungu kwa kunipa afya, tuweze kujadili kwa pamoja mada iliyopo mezani. Mada inajieleza hapo juu, kutokana na visa na uzoefu mbalimbali waliopitia, wanawake wamekuwa na mtazamo tofauti juu ya wanaume ambao wanatumia kilevi.Wapo wanaoamini kwamba mwanaume ambaye anatumia kilevi hafai kuwa mume lakini wapo wengine...

 

10 years ago

GPL

MWANAUME BORA ANAPASWA KUWA NA VIGEZO GANI?-2

Uhali gani msomaji wangu, ni matumaini yangu kwamba uko poa na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku. Ni Jumatatu nyingine ninapokukaribisha kwenye ukurasa huu kujadili na kuelimishana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita tulianza kujadili mada inayojieleza hapo juu ya sifa na vigezo anavyotakiwa kuwa navyo mwanaume bora. Nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sitakushukuru wewe msomaji wangu...

 

10 years ago

Vijimambo

Hakuna Mwanaume Rijali Anayeweza kuwa na Mwanamke Mmoja tu

Kwa wale nitakaowakwaza naomba mniwie radhi lakini kweli hata mimi hainipendezi kuyasema haya ila ni vema tu niwaeleze dada zangu kwasababu ukweli unaoumiza ni bora, kuliko uongo unaofurahisha.Hakuna mwanaume riijali anayeweza kuwa na mwanamke mmoja, eidha awe ameoa au hata kama hajaoa. Hakuna mwanaume wa aina hiyo Karne hii, usijidanganye kukimbilia kwenye ndoa ukiamini kwamba baada ya kuolewa utajimilikisha huyo mwanaume aliyekuoa, never.
"Mchele mmoja mapishi mbalimbali", utakuta wewe...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Machungwa ya Tanga hayana sifa ya kuwa juisi’

Serikali imesema matunda yanayolimwa katika Mkoa wa Tanga licha ya kuwa ni mengi lakini bado hayana sifa ya kutengeneza juisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani