Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIFA 5 ZA MWANAUME ANAYEKUTAMANI-2

Ni Jumanne tena. Jumanne yenye hekaheka ya kampeni ya uchaguzi mkuu wa mwezi ujao. Lakini kwa wasomaji wangu naamini mnajua kutenganisha muda wa kunisoma na muda wa kushiriki kampeni ili kusikia sera za vyama vyenu. Mada yangu ya leo inatoka wiki iliyopita ambapo inasema; sifa tano za mwanaume anayekuthamini.
Wiki iliyopita niliishia pale niliposema utakuta mwanaume anakuhesabia wanawake aliyokwishalala nao; Ester tayari,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SIFA TANO ZA MWANAUME ANAYEKUTAMANI

NI Jumanne tena! Naamini wasomaji wangu wote mpo sawasawa na tayari kupokea mada mpya ya wiki hii. Habari kubwa ya kitaifa kwa sasa ni siasa, kampeni za wagombea na vishawishi vyao. Lakini najua bado hamkosi elimu ya mapenzi na maisha. Leo nataka kuwasaidia baadhi ya wanawake, hasa wasichana ambao wamejikuta wakiwa kwenye uhusiano usiodumu kwa sababu ya kuwapata wanaume wanaowatamani halafu wao kwa kutokujua, wakaamini...

 

10 years ago

GPL

SIFA 6 ZA MWANAUME ANAYESTAHILI KUWA MUMEO!

Wiki hii nitazungumzia sifa 6 za mwanaume ambaye anastahili kuwa mumeo. Nafanya hivi ikiwa ni msaada kwa wale ambao wamefikia hatua ya kuingia kwenye ndoa lakini bado wanashindwa kutambua yupi ni sahihi na yupi si sahihi kuitwa mume. Tufahamu kwamba si kila mwanaume unayekutana naye na ukampenda anafaa kuwa mumeo. Wengine wana mapungufu makubwa ambayo bila kuyabaini na ukaingia kichwakichwa, utakutana na matatizo makubwa. Kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Rose Ndauka ataja sifa za mwanaume anayependa kuwa naye

Msanii wa filamu za Bongo, Rose Ndauka amesema kuwa yeye si mwanamke anayependa wanaume wenye uwezo mkubwa kama tuhuma dhidi yake zinavyoeleza. Mwigizaji huyo mrembo amevitaja vigezo vya mwanaume anayeweza kuwa naye hata kama hana uwezo wa kipesa. “Mimi napenda mwanaume anayejielewa, mwenye upendo na mchapakazi, ikitokea ana fedha itakuwa imetokea lakini si mwanamke ninayependa […]

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee azitaja sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa

Baada ya kutangaza kuwa kwa sasa yuko single, miongoni mwa maswali ambayo Lady Jaydee amekutana nayo ni kuhusu sifa za mwanaume ambaye anamtaka awe mpenzi wake kwa sasa. Kupitia Instagram Jide aliorodhesha sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa, soma huenda ukawa nazo (kama wewe ni mwanaume mwenye ndoto za kuwa na staa huyo). Yapo maswali […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal

robert-pires_3068381k

Robert Pires.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.

Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.

“Namjua Wanyama, ni balozi...

 

11 years ago

GPL

MWANAUME AJINYONGA...

Na Waandishi Wetu
NI simulizi ya majonzi! Fundi seremala Samuel Masanja,  mkazi wa Ilala jijini Dar amechukua ‘maamuzi’ magumu ya kujinyonga hadi kufa kwa kile kinachodaiwa kuwa ni msongo wa mawazo kwa sababu ya madeni yaliyosababishwa na kuwepo kwa uhusiano wake na kimada mmoja. Kwa mujibu wa mtu wa karibu na marehemu aliyejitambulisha kwa jina la Stany, kipindi cha uhai wake Samuel hakuwa na maelewano mazuri na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanaume afa maji

WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika matukio tofauti likiwemo la kufa maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema juzi saa 10 jioni,...

 

10 years ago

GPL

SHOGA MWANAUME HAKOMOLEWI

Haya weee, mimi nipo poa unashangaa nini kujibu majibu ya kisasa, mbona hujishangai wewe mama mtu mzima kushindana kwenda utupu na binti yako, sasa likiharibika nani amkanye mwenzake. Hebu nipishe huko ushaanza kukunja domo kama dege lililokosewa kumwagwa. Umenuna umecheka habari ndiyo hiyo. Leo, shoga yangu nazungumza na wewe mwanamke usiye na haya usiyejua wakati gani wa kumkomoa mumeo, jamani wanawake wengine sijui tumerogwa...

 

10 years ago

GPL

BATULI LAIVU NA MWANAUME

Musa mateja DAH! Wakati mashabiki wake wakiamini si mtu wa ‘kurukaruka’ kivile, muigizaji mwenye mvuto wa aina yake Bongo Movies, Yobnesh Yussuph ‘Batuli’ amekwaa aibu baada ya picha zake zikimuonesha akiwa kimahaba chumbani na mchekeshaji Stan Bakora kuvuja, Ijumaa linakupa mchapo kamili. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Ubl7KZ ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani