Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOGA MWANAUME HAKOMOLEWI

Haya weee, mimi nipo poa unashangaa nini kujibu majibu ya kisasa, mbona hujishangai wewe mama mtu mzima kushindana kwenda utupu na binti yako, sasa likiharibika nani amkanye mwenzake. Hebu nipishe huko ushaanza kukunja domo kama dege lililokosewa kumwagwa. Umenuna umecheka habari ndiyo hiyo. Leo, shoga yangu nazungumza na wewe mwanamke usiye na haya usiyejua wakati gani wa kumkomoa mumeo, jamani wanawake wengine sijui tumerogwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHOGA: MPIGE ‘STOP’ MUMEO KUCHEKA NA SHOGA ZAKO!

Shoga, ni matumaini yangu hali yako ipo poa na unaendelea kusaka ugali wa kula watoto kama kawaida.
Kwa upande wangu namshukuru Mwenyezi Mungu, afya yangu, wanangu na mume wangu ni nzuri kabisa.
Baada ya wiki iliyopita kuzungumza nawe kuhusu kuyafanyia kazi yote uliyofundishwa na kungwi wako ili umpagawishe mumeo na kumfanya atulie nyumbani, leo nimekuandalia kitu tofauti. Nafanya hivyo ili kuufungua ubongo wako katika suala...

 

11 years ago

GPL

KIGOGO MZITO SHOGA!

Stori: Mwandishi wetu WAKATI masuala ya ushoga yakipingwa kwa nguvu zote hapa nchini, skendo ya aina yake imeikumba serikali baada ya siri kuvuja kuwa mmoja wa viongozi kumi wa juu nchini ni shoga. Taric Jumbe akitoa ushuhuda jinsi alivyofanya mapenzi na kigogo huyo. Habari hizo za kushtua na kufedhehesha taifa ambazo zimefanyiwa kazi na dawati la Ijumaa kwa kushirikiana na kitengo cha OFM cha Global, zilitua hivi karibuni...

 

11 years ago

GPL

SHIJA ATONGOZWA NA SHOGA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu za Kibongo, Deogratius Shija hivi karibuni alijikuta katika wakati mgumu baada ya kutongozwa na shoga. Deogratius Shija. Akitema mbili tatu na paparazi wetu, Shija alisema tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika Ukumbi wa Traventine-Magomeni, Dar ambapo alitoka na kwenda msalani akiwa hajui hili wala lile alishtuka baada ya kumsikia mwanaume akimpapasa huku akimwambia kuwa anampenda....

 

11 years ago

GPL

SHOGA AWEKA HISTORIA BONGO

Stori: Imelda Mtema na Shani Ramadhani
KATIKA tukio linalochukuliwa kama ni la kihistoria kuwahi kutokea katika miaka ya karibuni, shoga wa Jijini Dar es Salaam, Amos Hamis, maarufu kama Anti Asu, aliyeokoka Agosti mwaka jana, ametangaza nia ya kutaka kuoa katika Kanisa la TAG, Magomeni wiki iliyopita. Amosi alimvalisha pete ya uchumba, Astrida Samatha baada ya kukamilisha taratibu zote za mila  na desturi za ukweni na...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MTOTO ASIKUTENGANISHE NA MUMEO!

Shoga zangu, ni matumaini yangu kwamba nyote mtakuwa na afya njema na mapambano ya maisha yanaendelea vizuri licha ya kuwa na changamoto za hapa na pale.Kwa upande wangu ondoeni shaka, afya yangu ni njema na mume na watoto wetu wapo poa kabisa. Leo shoga zangu nimeamua kuzungumza nanyi kuhusu uzembe unaofanywa na baadhi ya wenzetu baada ya kupata watoto na kusahau kabisa majukumu yao kwa waume zao.Nimeamua kuzungumza nanyi ishu...

 

11 years ago

GPL

SHOGA, SI KILA BIASHARA MATANGAZO!

JAMANI mwishowe nitapasuka mdomo kwa kusema, mambo mengine kwa mwanamke aibu kuyafanya. Mnakuwa kama hamkwenda mkoleni mkafundwa mkafundika. Hata kama hukwenda bado una aibu ya kike, mnakimbilia mambo ya kuiga ndiyo maana ndoa za siku hizi zimekosa neema wala maisha marefu. Nani alikwambia kicheni pati ya siku moja unafunda mtu  kama siyo kukupoteza na kukupeleka siko. Si wajinga walianzisha mafunzo ya mwanamke ya kuujua...

 

10 years ago

GPL

SHOGA, NDOA USIICHEZEE MDAKO

Najua umenisubiri kwa hamu kubwa bi shosti, ni mimi yuleyule mtambo wa kurekebisha tabia nimeingia kama upepo wa kimbunga.  Kwa vile nia ya kona hii ni kutibu si kubembeleza watu wala kuangalia sura zao. Unajua kuna baadhi ya wanawake wanatia kichefuchefu kufanya utani katika ndoa na kuzifanya ndoa za siku hizi zipoteze maana na kushindwa kutofautisha yupi kaolewa na yupi kahaba. Nimebahatika kuhudhuria kicheni pati nyingi...

 

9 years ago

GPL

SHOGA, UONJWE WE POMBE YA KIENYEJI?

Jamani hebu nitumieni basi mvuke salama, hivi muoaji wa kweli humuonja mwanamke ndipo amuoe kweli? Mmh! Simpendi jamani mwanamke kugeuzwa chungu cha mboga kuingiza mkono na kuonja. Utaonjwa na wangapi mwisho wa siku unabaki kituko cha mtaa. Najua utashangaa kuona nimeanza na gia kubwa bila hata kutanguliza salamu, kwa kweli jambo linaloniudhi salamu kwangu si muhimu, kama kulizungumzia lililouchefua moyo wangu. Juzi nilipata...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Steve Nyerere: Mimi si shoga

MWENYEKITI wa Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’, amekerwa na alichosema uzushi dhidi yake kwamba ni shoga. Kupitia ukurasa wake wa facebook, msanii huyo alisema anachukizwa na kasumba ya baadhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani